Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,748
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!
Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani
Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.
Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo
sana!
Mjini shule, ww mgeni au? Why unatoa elfu 50 bila kula mzigo? Ungeenda Ambience buku 10 tu unajichagulia, heee, tena ungekula mzigo angekuomba vocha ya elfu 2000 tu, wee amka....hakuna mtu kuliwa nowadays, toa pochi, get huduma, hata ukiwa bubu utapewa mzigo, period