peter daudi
Senior Member
- Sep 16, 2012
- 112
- 30
Tupe hiyo sms maana hainiingii akilini kwanini kasevu hiyo sms?.Ongea ukweli kama shoga yako anacheat this might be the end of story.:shut-mouth:
yani uzuri wa jf huwa wanachama wake hawakutwi na kitu chochote, kila atakeye leta mada, nirafk yangu, kaka yangu, jirani yangu, dada, mdogo. Tumshukuru mungu kwakuwa tupo perfect.
mwambie ajitahidi ili yawe mafiga matatu.
yani uzuri wa jf huwa wanachama wake hawakutwi na kitu chochote, kila atakeye leta mada, nirafk yangu, kaka yangu, jirani yangu, dada, mdogo. Tumshukuru mungu kwakuwa tupo perfect.
yani uzuri wa jf huwa wanachama wake hawakutwi na kitu chochote, kila atakeye leta mada, nirafk yangu, kaka yangu, jirani yangu, dada, mdogo. Tumshukuru mungu kwakuwa tupo perfect.
wewe kijana unatania...lazima kucheki simu mwana maana hawa wadada siku hizi kugegedwa na dudu moja imepitwa na wakati...minimum dudu 2 mndo wanaridhika....sasa bor a ujuage mapema kuwa hapa tupo wengi
Mkuu umempiga za uso.Huu uzi unaonyesha wazi mleta mada ndio muhusika mkuu
Kalikoroga anatafuta wa kunywa nae.
Sasa yamekukuta wewe ama shoga kidawa?
Mkuu umempiga za uso.