jamani yamenikuta........!!!!!!

jamani yamenikuta........!!!!!!

Hahahahha inawezekana isiwe sawa lakini kitendo cha kutozifuta kina maana kubwa sana especially kwetu wanawake (na kama mtu ameshanasa). Ukimkuta mpenzi wako amehifadhi sms za mapenzi toka kwa mtu anayedai hampendi jiulize mara mbili mbili.
1. Saikolojia yetu huwa ni kukihifadhi kitu kinachokupa faraja, unachopenda kukiona so kama sms ya mtu mwingine imehifadhiwa jua tu huwa tuna-revisit mara kwa mara na kufantasize
2. Lakini inawezekana pia kuwa huyo mpenzi wako hazijali hisia zako kwa sababu Id rather tell you kuwa flani amenitongoza (if its necessary at all) kuliko kukuacha uje uone amenitongozaje! Ni kuumiza hisia zako aisee.

Then hapa ni kuwa demu kachemka na alinywe tu haina haja ya kupeana ushauri juu ya mtu aliyefuga tatizo to that extent

1. Kama ingekuwa ni wewe cud you dare that much.........???????

The whole act was dangerous and thus she was supposed to have escape mission before hands.....
 
Then hapa ni kuwa demu kachemka na alinywe tu haina haja ya kupeana ushauri juu ya mtu aliyefuga tatizo to that extent

1. Kama ingekuwa ni wewe cud you dare that much.........???????

The whole act was dangerous and thus she was supposed to have escape mission before hands.....

Sidhani kama nimeeleweka hii post ilikuwa inajibu swali la kwa nini azifute hizo sms tu.

Kuhusu ushauri atashauriwa ila utamshauri mtu vipi kama hujamwelewesha kosa lake ? (Wengine hatutambui kosa mpaka tueleweshwe) Si ajabu yeye anajiona ni sawa kuwa na sms kama hizo kwenye simu yake so pasipo kujulishwa possible tafsiri ni wazi ataendelea kujiona hajakosea na pengine hata ushauri utakaompa anaweza asiutilie maanani.

All in all......... aendelee kujiaminisha kwa mpenzi wake kuwa huyo sio mwanaume wake (Ingawa akiulizwa why amekeep sms zake anawezashindwa kujitetea). Na siku nyingine kama anashindwa kujizuia kugawa namba ya simu basi asiwege anaendekeza kujibu sms kama hizo.

Oupss umesema ningekuwa mimi? ............... ah sijui ningefanyaje as nisingefikia hata huko kwa mtu kunisms na mie nikamjibu.
 
Naomba mnisaidie, nina shoga angu ameniomba nmshauri nami cnabudi kulileta kwenu.Rafiki yangu ana boyfriend wake kwa muda mrefu sana,bt kwa sasa hawaelewan kwa kua huyo shemeji yangu amekuta sms ya mwanaume mwingine ambae anamfuatilia kwenye cmu ya rafiki yangu.tatizo n kwmb huyo shemeji yangu anazidi kumuuliza yule n nani yake,kila akimuelewesha shemeji yangu hataki kuelewa anamwambia n bwana ake sasa shoga angu ata aelewi afanyeje.
Mbona kama issue yenyewe inakuhusu amney?
 
Sidhani kama nimeeleweka hii post ilikuwa inajibu swali la kwa nini azifute hizo sms tu.

Kuhusu ushauri atashauriwa ila utamshauri mtu vipi kama hujamwelewesha kosa lake ? (Wengine hatutambui kosa mpaka tueleweshwe) Si ajabu yeye anajiona ni sawa kuwa na sms kama hizo kwenye simu yake so pasipo kujulishwa possible tafsiri ni wazi ataendelea kujiona hajakosea na pengine hata ushauri utakaompa anaweza asiutilie maanani.

All in all......... aendelee kujiaminisha kwa mpenzi wake kuwa huyo sio mwanaume wake (Ingawa akiulizwa why amekeep sms zake anawezashindwa kujitetea). Na siku nyingine kama anashindwa kujizuia kugawa namba ya simu basi asiwege anaendekeza kujibu sms kama hizo.

Oupss umesema ningekuwa mimi? ............... ah sijui ningefanyaje as nisingefikia hata huko kwa mtu kunisms na mie nikamjibu.

Nilikuelewa vizuri mamy ndo maana nikaendelea na hiyo hukumu yake.......I konw kitu kimoja kuhusu mapenzi....ni kwamba nyie watani wetu wa jadi huwa hamlei kima aisee unless kuna interest sasa kwa mimi suala la kuhubiriwa on the nature and type of interest huwa sina hiyo nafasi

Nishatongoza sana na najua a lady kama hakutaki aisee humtanii kwa sms.....ila kama undecided ndo mtakuwa na majadiliano here and then........so nikikuta hii mambo kwangu ni kuwa either tayari au ndo uko mbion........baaaaas!!!!!!!

Hahaaaaaaaaa by the way cant tolerate kumuona mpenzi wangu akifuga Zombie...........Waaaaaapi LARA1.........mamie Konnie upo???? Da Asha Dii.........Kunga........Mwali.......Hebu nambien hii mambo kaka yenu nikikutwa na hii kadhia nimuelewe wifi yenu eti alikuwa anataongozwa ila yeye hataki........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilikuelewa vizuri mamy ndo maana nikaendelea na hiyo hukumu yake.......I konw kitu kimoja kuhusu mapenzi....ni kwamba nyie watani wetu wa jadi huwa hamlei kima aisee unless kuna interest sasa kwa mimi suala la kuhubiriwa on the nature and type of interest huwa sina hiyo nafasi

Nishatongoza sana na najua a lady kama hakutaki aisee humtanii kwa sms.....ila kama undecided ndo mtakuwa na majadiliano here and then........so nikikuta hii mambo kwangu ni kuwa either tayari au ndo uko mbion........baaaaas!!!!!!!

Hahaaaaaaaaa by the way cant tolerate kumuona mpenzi wangu akifuga Zombie...........Waaaaaapi LARA1.........mamie Konnie upo???? Da Asha Dii.........Kunga........Mwali.......Hebu nambien hii mambo kaka yenu nikikutwa na hii kadhia nimuelewe wifi yenu eti alikuwa anataongozwa ila yeye hataki........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ah........... OLESAIDIMU yaani wewe ndio umetuelewa vizuri yaani sina la kuongeza aisee na ninamshauri wifi asije akajidanganya kuwa hujui mbona ataumbuka vibaya
 
Last edited by a moderator:
wewe kijana unatania...lazima kucheki simu mwana maana hawa wadada siku hizi kugegedwa na dudu moja imepitwa na wakati...minimum dudu 2 mndo wanaridhika....sasa bor a ujuage mapema kuwa hapa tupo wengi
Du hii kali maana inaitwa NEW TASTE IN A NEW LIFE ukiona kimya haridhiki mpaka akampenyue kwenye suruali Mwanamme yoyote kumpima km inavuka "7 aje apime na ka mwanamme wake km kako "3 hatasema utaona vi sms tu kila siku ujue umeliwa
Na mwanamke hatakuambia ukweli kuwa karidhika
Vivyo hivyo na Mwanamme atataka kusoma kila plate No ya nyuma km imetoka mpya CZZ ili akapime oil uwezo hana ataishia kwa macho.
Kwa hiyo wavumiliane tu hata wakizima simu, wafungiane chumbani mwaka haitasaidia
 
mambo ya cm hayo yanavunja uhusiano xana ukitaka kuishi na mpenzi wako kwa amani na furaha usifutilie xana hasa kwenye cm utaumia kila siku ..
 
Ah........... OLESAIDIMU yaani wewe ndio umetuelewa vizuri yaani sina la kuongeza aisee na ninamshauri wifi asije akajidanganya kuwa hujui mbona ataumbuka vibaya



Ha ha haaa MwanaJamii1 my dada not that much bana maana hii mambo ni kama vita kila kukicha na mbinu mpya so m still learning new techniques humu jamvini kwa wadau kama nyie...................

Ila hii ya huyu asee ni ya kizamani sana.............cant imagine mpenzi wangu ananiambia......yeee mwenyewe tu ndo huwa ananitongoza........!!!!!!!!!!
 
yani uzuri wa jf huwa wanachama wake hawakutwi na kitu chochote, kila atakeye leta mada, nirafk yangu, kaka yangu, jirani yangu, dada, mdogo. Tumshukuru mungu kwakuwa tupo perfect.

umenichekesha sana Mpwa ila hujanitendea haki maana ni mimi tu last two weeks nilianzisha topic ya Mkwe wangu vs My wife wangu. ilinihusu mimi mwenyewe but nakuunga mkono ulichosema
 
Bf-rafiki wa kiume.
Gf-rafiki wa kike.
SAWA fazaa.
I will try to help you
Girlfriend and partner mean different things to different people; the distinctions between the terms are subjective. How the term is used will ultimately be determined by personal preference

O-K SAUDARI nadhani umenielewa hapo.

Tazama hapa mifano.

A girlfriend is a female partner one is romantically and/or sexually involved with. It can also refer to a female friend

Yani sio wote wanawachukulia gf ni malaya, na ukisoma vizuri utajua ni rafiki tu, yani we una haki ya kuchungulia simu ya rafiki yako bila ruhusa yake!


Na akija kwa mwanaume
A boyfriend is a regular male companion in a romantic and or sexual relationship[SUP][1][/SUP], although normally not in long-term committed (e.g. marital) relationships, where other titles (e.g. husband, partner) are more commonly used. A boyfriend can also be called an admirer, beau, fiancé, suitor and soul mate

Yani ndugu nadhani utajifunza hapo, awe bf/gf au mke kuchunguza simu yake ni no-and big no.
 
Hapa sielewi

1. Doezi alipataje namba ya simu hiyo pin?

2.Uhusiano wa muda mrefu miaka mingapi?

3.je hilo doezi ashawahi kukutana na hiyo pin be4 ktk harakati za kikazi,masomo,semina,kanisani au msikitini n.k?

4. Je doezi anafahamiana na mvulana wa hiyo pin?

5.Je ilichukua muda gani be4 jamaa kuifumania hiyo sms?

6.Je ni sms ngapi hiyo pin ishatumiwa na doezi?

7.Muulize kama na yeye alishazijibu ngapi au hajawai jibu?

8.Je hawa wahusika wanatabia ya kuchunguziana simu zao kama wapenzi au zinakua kaunta ataki?

NAULIZA HIVI NIKIFAHAMU WAZI WATU WENGI WESHAKUTANA NA HILI DARAJA LA AINA HII

SASA MIMI SITAKI UPENDELEO HAPA NADHANI NIKIPATA MAJIBU YA MASWALI HAYO NITAWEZA TOA MCHANGO WANGU VIZURI
 
Amyner sema yamekukuta wewe kama hakuelewi mpige chini mpe nafasi huyo anaye kufukuzia
 
Last edited by a moderator:
Huyo bi dada kashalikoroga na sasa ndio wakati wa kulinywa...
Ni vyema awe mpole tu kosa alilolifanya ni kuendelea kuhifadhi jumbe za mwanaume asiye mali yake...Binafsi nahisi huyo rafiki yako alikua anatumia hizo texts kama faraja nyakati fulani fulani...
 
Hii issue imekukuta mwenyewe si useme tu, ndo maana hueleweki, japo kwenye heading ndo ukweli wako yamekukuta. Amua kuwa na mmoja, unahangaika nini sasa?
 
Naomba mnisaidie, nina shoga angu ameniomba nmshauri nami cnabudi kulileta kwenu.Rafiki yangu ana boyfriend wake kwa muda mrefu sana,bt kwa sasa hawaelewan kwa kua huyo shemeji yangu amekuta sms ya mwanaume mwingine ambae anamfuatilia kwenye cmu ya rafiki yangu.tatizo n kwmb huyo shemeji yangu anazidi kumuuliza yule n nani yake,kila akimuelewesha shemeji yangu hataki kuelewa anamwambia n bwana ake sasa shoga angu ata aelewi afanyeje.

Si wampigie simu wakiwa wote dem ampe huyo mwizi cha mbavu live tu??mbona hamna ugumu hapo...halafu sidhani kama kuna mwanaume anapenda kuwa na dem ambaye hatongozwi...kwanini asitongozwe kama ni mzuri??..rafiki yako anaficha kitu...needless to say!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom