Kuna uzi unaitwa "ulishawahi kula tunda kimasihara"Kuna tukio leo limenitokea.. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua.
Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story,
ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation)
tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na jamaa ambae ni office yake hapo.
Basi kulikua na wadada wawili majirani tu hapo (wao ni mafundi cherehani) wakaja kujiunga kwenye benchi letu story zikaendelea..
Story zilikua nyingi tu, kifupi mimi hao madada sina mazoea nao, hata kuongea nao sijawahi labda kupishana nao tu hayo mazingira. kwahiyo nilikua nachangia kidogo sana kwenye hizo story ambazo zinaendela.
Wao ndio walikua wanataniana sana na hao washikaji zangu wawili, mdada moja anadai mmoja hapo kati ya hao marafiki zangu ni bwana yake, akawa anamwambia wewe hunijali mala umeanza tabia ya kumpenda fulani.. sijui unamchepuko.. yani utani mwingi..
Basi tukio lilonitokea mimi ni, manzi wa pili alikuja kukaa karibu na mimi alikua kakaa mbali kidogo ila alidai anataka kukaa na mimi karbu, na kisha akawa kanikumbatia kwa mkono wake mmoja, yani alipitisha kabisa mkono wake hadi bega langu la upande wa pili..
Kiukweli huyo mwanamke alikua na matiti mazuri na yana joto sana kiasi kwamba nilikua nalihisi ziwa lake katika mkono wangu ulio upande wake,
Alikua kakaa kushoto kwangu, jamaa yangu yupo kulia kwangu, mimi katikati
Sasa alipokua akijarbu kuongea vizuri na huyu alie kulia kwangu amba yuko mbali zaidi, inafikia hatua ziwa/titi la huyu dada linagusa kifuani kwangu.
Yani fujo fujo tu, yeye kajiachia tu na kavaa nguo nyepesi juu
Akawa ananiuliza maswali mala naitwa nani, mala aniulize maswali ambayo hata hayaniusu mimi kabisa.
Sasa kichwani nikawa najiuliza anafanya hivi makusudi au vipi ?
Haoni kwamba ananitia mimi kwenye majarbu ?
Hata nikishawishika nikamtongoza, atanikubali na kunipa mzigo ?
Ilifika muda nikaamua kuondoka niwaache waendelee kutaniana wanao juana, nikawaaga nikaondoka.
Kwani huyo mdada mwenyewe anasemaje.?Kuna tukio leo limenitokea.. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua.
Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story,
ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation)
tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na jamaa ambae ni office yake hapo.
Basi kulikua na wadada wawili majirani tu hapo (wao ni mafundi cherehani) wakaja kujiunga kwenye benchi letu story zikaendelea..
Story zilikua nyingi tu, kifupi mimi hao madada sina mazoea nao, hata kuongea nao sijawahi labda kupishana nao tu hayo mazingira. kwahiyo nilikua nachangia kidogo sana kwenye hizo story ambazo zinaendela.
Wao ndio walikua wanataniana sana na hao washikaji zangu wawili, mdada moja anadai mmoja hapo kati ya hao marafiki zangu ni bwana yake, akawa anamwambia wewe hunijali mala umeanza tabia ya kumpenda fulani.. sijui unamchepuko.. yani utani mwingi..
Basi tukio lilonitokea mimi ni, manzi wa pili alikuja kukaa karibu na mimi alikua kakaa mbali kidogo ila alidai anataka kukaa na mimi karbu, na kisha akawa kanikumbatia kwa mkono wake mmoja, yani alipitisha kabisa mkono wake hadi bega langu la upande wa pili..
Kiukweli huyo mwanamke alikua na matiti mazuri na yana joto sana kiasi kwamba nilikua nalihisi ziwa lake katika mkono wangu ulio upande wake,
Alikua kakaa kushoto kwangu, jamaa yangu yupo kulia kwangu, mimi katikati
Sasa alipokua akijarbu kuongea vizuri na huyu alie kulia kwangu amba yuko mbali zaidi, inafikia hatua ziwa/titi la huyu dada linagusa kifuani kwangu.
Yani fujo fujo tu, yeye kajiachia tu na kavaa nguo nyepesi juu
Akawa ananiuliza maswali mala naitwa nani, mala aniulize maswali ambayo hata hayaniusu mimi kabisa.
Sasa kichwani nikawa najiuliza anafanya hivi makusudi au vipi ?
Haoni kwamba ananitia mimi kwenye majarbu ?
Hata nikishawishika nikamtongoza, atanikubali na kunipa mzigo ?
Ilifika muda nikaamua kuondoka niwaache waendelee kutaniana wanao juana, nikawaaga nikaondoka.
Mwanaume wa Dar anamuogopa mpk fundi cherehani.
Wanaume wa mkoani acha tuwatie tu dada zenu.
Naanzaje kumkimbia binti mrembo lakini yani naanzaje..Kimbia mbio kama Yusufu alivomkimbia mke wa Potifa, huo ni mtego asijekukupa wadudu(maradhi) bure.
Tatizo jamaa ni kijana wa Dar halafu ni mwana YangaWe nae chiz kweli, kusoma hujui hata picha huoni?
Ungeliwa wewe kimasihara kama ungerndlea kukumbatiwaKuna tukio leo limenitokea.. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua.
Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story,
ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation)
tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na jamaa ambae ni office yake hapo.
Basi kulikua na wadada wawili majirani tu hapo (wao ni mafundi cherehani) wakaja kujiunga kwenye benchi letu story zikaendelea..
Story zilikua nyingi tu, kifupi mimi hao madada sina mazoea nao, hata kuongea nao sijawahi labda kupishana nao tu hayo mazingira. kwahiyo nilikua nachangia kidogo sana kwenye hizo story ambazo zinaendela.
Wao ndio walikua wanataniana sana na hao washikaji zangu wawili, mdada moja anadai mmoja hapo kati ya hao marafiki zangu ni bwana yake, akawa anamwambia wewe hunijali mala umeanza tabia ya kumpenda fulani.. sijui unamchepuko.. yani utani mwingi..
Basi tukio lilonitokea mimi ni, manzi wa pili alikuja kukaa karibu na mimi alikua kakaa mbali kidogo ila alidai anataka kukaa na mimi karbu, na kisha akawa kanikumbatia kwa mkono wake mmoja, yani alipitisha kabisa mkono wake hadi bega langu la upande wa pili..
Kiukweli huyo mwanamke alikua na matiti mazuri na yana joto sana kiasi kwamba nilikua nalihisi ziwa lake katika mkono wangu ulio upande wake,
Alikua kakaa kushoto kwangu, jamaa yangu yupo kulia kwangu, mimi katikati
Sasa alipokua akijarbu kuongea vizuri na huyu alie kulia kwangu amba yuko mbali zaidi, inafikia hatua ziwa/titi la huyu dada linagusa kifuani kwangu.
Yani fujo fujo tu, yeye kajiachia tu na kavaa nguo nyepesi juu
Akawa ananiuliza maswali mala naitwa nani, mala aniulize maswali ambayo hata hayaniusu mimi kabisa.
Sasa kichwani nikawa najiuliza anafanya hivi makusudi au vipi ?
Haoni kwamba ananitia mimi kwenye majarbu ?
Hata nikishawishika nikamtongoza, atanikubali na kunipa mzigo ?
Ilifika muda nikaamua kuondoka niwaache waendelee kutaniana wanao juana, nikawaaga nikaondoka.
Ulitakiwa usijiulidhe mkuu.Kiukweli hata mimi nilibaki najiulidha maswali mengi.
AISEEE NDO MANA LEO REAL MADRID KANICHANIA MKEKA WANGUKiukweli huyo mwanamke alikua na matiti mazuri na yana joto sana kiasi kwamba nilikua nalihisi ziwa lake katika mkono wangu ulio upande wake
Plus madem mafundi cherehan 😂Ulivyosema umekaa kwenye PlayStation na wenzako tu nikajua umri wako.
Ni utan tu mkuu.nothing serious 😆Huu unafiki sasa
Umri wako ni miaka mingapi?Kuna tukio leo limenitokea.. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua.
Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story,
ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation)
tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na jamaa ambae ni office yake hapo.
Basi kulikua na wadada wawili majirani tu hapo (wao ni mafundi cherehani) wakaja kujiunga kwenye benchi letu story zikaendelea..
Story zilikua nyingi tu, kifupi mimi hao madada sina mazoea nao, hata kuongea nao sijawahi labda kupishana nao tu hayo mazingira. kwahiyo nilikua nachangia kidogo sana kwenye hizo story ambazo zinaendela.
Wao ndio walikua wanataniana sana na hao washikaji zangu wawili, mdada moja anadai mmoja hapo kati ya hao marafiki zangu ni bwana yake, akawa anamwambia wewe hunijali mala umeanza tabia ya kumpenda fulani.. sijui unamchepuko.. yani utani mwingi..
Basi tukio lilonitokea mimi ni, manzi wa pili alikuja kukaa karibu na mimi alikua kakaa mbali kidogo ila alidai anataka kukaa na mimi karbu, na kisha akawa kanikumbatia kwa mkono wake mmoja, yani alipitisha kabisa mkono wake hadi bega langu la upande wa pili..
Kiukweli huyo mwanamke alikua na matiti mazuri na yana joto sana kiasi kwamba nilikua nalihisi ziwa lake katika mkono wangu ulio upande wake,
Alikua kakaa kushoto kwangu, jamaa yangu yupo kulia kwangu, mimi katikati
Sasa alipokua akijarbu kuongea vizuri na huyu alie kulia kwangu amba yuko mbali zaidi, inafikia hatua ziwa/titi la huyu dada linagusa kifuani kwangu.
Yani fujo fujo tu, yeye kajiachia tu na kavaa nguo nyepesi juu
Akawa ananiuliza maswali mala naitwa nani, mala aniulize maswali ambayo hata hayaniusu mimi kabisa.
Sasa kichwani nikawa najiuliza anafanya hivi makusudi au vipi ?
Haoni kwamba ananitia mimi kwenye majarbu ?
Hata nikishawishika nikamtongoza, atanikubali na kunipa mzigo ?
Ilifika muda nikaamua kuondoka niwaache waendelee kutaniana wanao juana, nikawaaga nikaondoka.