Jamani wanaume

Jamani wanaume

Bahati yangu

Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
30
Reaction score
7
Dada mmoja amemfumania mume wake akifanya mapenzi na mtoto wa kaka yake(kaka wa mke),mke amechanganyikiwa,akaenda kuomba ushauri,akaambiwa ajitahidi atatue hilo tatizo maana,huku kwenye jamii tayari kumejaa matatizo lukuki akiruhusu na hilo la mume wake kuja huku,hana mchango wa kujenga jamii ambayo inaanzwa na yeye kwenye ndoa yake.

Hivi mpaka lini wanaume mtasababisha majanga ndani ya familia zenu,kila siku wanawake ni vilio tu?
 
dah.Pole sana huyo dada!napita tu sijui watakuja na ushauri gani wacha tuwasubiri wanakuja.ni kesi nzito hiyo
 
Hivi utaniambia ni w/me tu ndio majanga ktk mahusiano?
...
Mmmh! Maskini Mashaxizo alikua good boy kwenye mahusiano!!!
 
sijaelewa ni mwanaume na mwanaume ndio wamekutwa???mh sina cha kukushauri subiri waje...
 
Machozi tumeumbiwa binadamu lakini kwa wastani wanawake hulia zaidi ya wanaume...source Abeid H. Sakara
 
wanawake wanatimiza wajbu wao..?deleted thread
 
Ukitaka kudhibiti cha mwisho, anza na cha kwanza. angalia apa chini

Yakobo 1:13''Mtu
ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. 14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. 15 Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti'':A S 39::A S 39::A S 39:


 
Anatimiza wajibu wake? Na kwa nini ukae na watoto wa ndugu zako wakati unamuona na kuhisi kuwa mumeo ni kicheche? Tena watoto wa siku hizi, hawa wanaovunja ndoa za dada zao na mama zao ndio ataheshimu ya shangazi? Usiku jamaa alimfuma na kajamaa sasa ili kuzima soo binti ikabidi awape wote wawili, si hakiishi hicho kikojoleo?
 
Baada ya fumaniz alichukua hatua gani?
 
Ukitaka kudhibiti cha mwisho, anza na cha kwanza. angalia apa chini

Yakobo 1:13''Mtu
ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. 14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. 15 Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti'':A S 39::A S 39::A S 39:



Ubarikiwe
 
USHAURI-usikae na mvaa sketi kabisa ndani ya nyumba yako atamegwa tu,ntarudi baadae sorry
 
sasa kwa nini huyo mtoto wa kaka hakukataa? au nae nogewa na utamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom