KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi nimeshikwa na Butwaa!!!Mimi sijui kama nipo Tanzania Nchi yenye Serikali!au Nipo Somalia??Nchi inayojiendeshea kienyejikila kukicha!!Aiingii akilini kama kweli Nchi hii yenye utawala tena unaitwa utawala bora!!au ni Bora Utawala??Nijuzeni mbona nchi inamong'onyoka??watu mpo mmekaa maofisini hivi mpo kwa ajili ya wananchi???au vinginevyo??
#Naanza na kupanda kwa bei ya vyakula je hili nijukumu la nani??hakuna idara ya kuregulate mfumko wa bei??kweli mnaacha sukari inayotengenezwa hapa nchini inafikia bei ya Sh 2000!!kwa kilo??imeshakuwa anasa!!
#Mchele umefikia Sh1500-1850!Kweli mnataka sisi tulechenga za Shs 1000??Mchele wa vitumbua ļKweli Serikali mpo??Mimi siamini Najiuliza maswali sipati jibu je Wapwa zangu waliopo kule Kyamlaile,Kijuka,Minziro,Kakunyu,Mrongo,Buenda ngabo,Kigoma kule Kibondo,Kasulu,Nakwingineko kwingi hata kwa Mtoto wa Mkulima Kakaa kimya!!Nakukataa kwake VX hakujaleta tija ni bora angelichukua!!
#Mbona Bei ya petrol ikipanda kidogo Wehura!!Sorry EWURA wana andamana??Kweli ni serikali iliyochaguliwa na wananchi kwa aslimia 70???Imewasahau wananchi wake??Viongozi mlioko madarakani tupieni macho kwa hili ni adhabu kwa mkulima na yule mwenye kipato cha chini japo anaweza kuwa mwajiliwa tusingoje maandamano!!
#Wanachi wanapata taabu jaribu kuwaonea huruma SUKARI KUFIKIA SH 2000/NIKITANZI.
#Naanza na kupanda kwa bei ya vyakula je hili nijukumu la nani??hakuna idara ya kuregulate mfumko wa bei??kweli mnaacha sukari inayotengenezwa hapa nchini inafikia bei ya Sh 2000!!kwa kilo??imeshakuwa anasa!!
#Mchele umefikia Sh1500-1850!Kweli mnataka sisi tulechenga za Shs 1000??Mchele wa vitumbua ļKweli Serikali mpo??Mimi siamini Najiuliza maswali sipati jibu je Wapwa zangu waliopo kule Kyamlaile,Kijuka,Minziro,Kakunyu,Mrongo,Buenda ngabo,Kigoma kule Kibondo,Kasulu,Nakwingineko kwingi hata kwa Mtoto wa Mkulima Kakaa kimya!!Nakukataa kwake VX hakujaleta tija ni bora angelichukua!!
#Mbona Bei ya petrol ikipanda kidogo Wehura!!Sorry EWURA wana andamana??Kweli ni serikali iliyochaguliwa na wananchi kwa aslimia 70???Imewasahau wananchi wake??Viongozi mlioko madarakani tupieni macho kwa hili ni adhabu kwa mkulima na yule mwenye kipato cha chini japo anaweza kuwa mwajiliwa tusingoje maandamano!!
#Wanachi wanapata taabu jaribu kuwaonea huruma SUKARI KUFIKIA SH 2000/NIKITANZI.