Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Kwani amechukua milioni ngapi au kachukua viji senti tuu? wacha achukue mkweo huyo bila yeye mke ungekua hunae..
sasa ndio achukue kama aliziweka?Nalog off
Kwani amechukua milioni ngapi au kachukua viji senti tuu? wacha achukue mkweo huyo bila yeye mke ungekua hunae..
namaanisha chochote kile. Mfano mie nakutaka ili uwe my wife wangu ni lazima kwanza unichune halafu ndio unipe tunda?
malizana naye kisela huyo mamkwe wako.Nalog off
umeona eh! mama wakwe wengine wanazingua bangi kinoma.Nalog offAhahahaha, Washawasha bana, umenifurahisha sana mkuu
kwanini unanipinga?duh! kumbe nilikuwa sijakuelewa banaaa
nisamehe buree.
Ila hapo kwenye kuchuna sijakubaliana na wewe,
kwanini unanipinga?