Jamani upweke unauma acheni tu

Jamani upweke unauma acheni tu

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
12,105
Reaction score
35,136
Jamani upweke unauma sana endelea kusikia mwenzako anasema ila usikufike.Tatizo hili la upweke limekuwa kwa watu waaina mbali mbali ikiwemo wanawake na wanaume.

Chanzo ni kufiwa au kukosa wenza.Upweke umefanya watu kuishi na ukiwa pia kukosa furaha na wakati mwingine kuwa na msongo wa mawazo hata magonjwa na matokeo yake maisha kuwa mafupi yani kufa mapema.

Mara nyingine watu ambao ni wapweke yaani wanawake ambao hawajaolewa wamekuwa wakidharauliwa na jamii na kuitwa majina ya ajabu na kuwafanya wakose furaha.

Hata hivyo pia watu wamekuwa wakidhani walipendaa kuwa na hali hiyo au kasoro fulani kumbe ni mipango ya Mungu. Kwani naamini hakuna mwanamke ambaye amekuwa akipenda asiolewe ila hutokea.

Karibuni tujadili hili swala la upweke
 
Poleni sana, halafu wapweke pia hupoteza uhai mapema zaidi ukilinganisha na wale ambao si wapweke. Jitahidi uondokane nao.
 
Poleni sana, halafu wapweke pia hupoteza uhai mapema zaidi ukilinganisha na wale ambao si wapweke. Jitahidi uondokane nao.

Atakufa mapema huyu eti............dah.......ngoja nimkirimu tukae 3..........
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aiseee....!! Kwani yuko nje ya nchi.....??
 
Kweli jaman upweke ni mbaya sana, tafuta angalau mchepuko ukupe kampani,utafanya yote lakin mpenzi Wa muhimu sana Kwan kampani Yake tofAuti na unavokuwa na mtu mwingine yoyote
 
Poleni sana, halafu wapweke pia hupoteza uhai mapema zaidi ukilinganisha na wale ambao si wapweke. Jitahidi uondokane nao.

Thank, but ni tatizo nililo nalo toka udogo kiukweli unumiza sana, yaan sijua moyo unakuwakuwaje!
 
Pole sana Mkuu jitahidi ulifanyie kazi tatizo hili ili uepukane nalo. Jaribu kuwaona wataamu wa psychology labda wanaweza kukusaidia kuondokana na tatizo hili.

Thank, but ni tatizo nililo nalo toka udogo kiukweli unumiza sana, yaan sijua moyo unakuwakuwaje!
 
Dunia ina watu zaidi ya Billion 1,, nakushangaa sana unalalamika upweke.. Jichanganye na watu acha maisha ya kubagua watu. Kila binadamu ana utamu wake. Jaribu ujionee... Ongea na kila mtu.
 
Kweli jaman upweke ni mbaya sana, tafuta angalau mchepuko ukupe kampani,utafanya yote lakin mpenzi Wa muhimu sana Kwan kampani Yake tofAuti na unavokuwa na mtu mwingine yoyote

Nikweli kabisa ila dini nayo inabanaje
 
Dunia ina watu zaidi ya Billion 1,, nakushangaa sana unalalamika upweke.. Jichanganye na watu acha maisha ya kubagua watu. Kila binadamu ana utamu wake. Jaribu ujionee... Ongea na kila mtu.

Waoh!
Ndio nimejichanganya kutwa nzima sasa na sahivi i am very lonely.
 
Ni kweli kabisa,hii kitu imenipata kwa muda wa miezi 3 hivi,am not ok kabisa.Yani sijielewielewi hivi mpaka sasa.Akili sijui ipoje?
 
Ndio Hivyo Tu

1426882526488.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom