Jamani, tuweni makini na wanaojiita manabii

Jamani, tuweni makini na wanaojiita manabii

Hipo hivi, nilikwenda kwa yule, mtumishi wa mungu anaejihita, kiboko ya wachawi. Ebwana niliyoyashudia, jamani watu wanajua kutafuta pesa, mimi nasema nitabaki kwa dini yangu, hii ya Romani Katoliki.

Mpaka mwisho wa maisha yangu akuna mwamosa, sijui, musa, wala nani. Sasa nimefika pale,na sikua peke yangu, nilikua mimi na ndugu yangu pamoja na mgoj. Sasa tumefika pale eneo la tukio, mimi nikamwambia ndugu yangu. Ngoja niangalie taratibu apa nikatafuta wenyeji pale, kuna anko mmoja,akaniambia honana na yule dada. Kweli nikamfuhata, yule dada akaniambia nenda kakae pale na uyo mgojwa.

Nikaona hapana kwasababu pale nilikua na mgojwa, nikamtafutia kiti aweze kukaa. Mimi nikatoka mpa kwa yule ndugu, kumwambia. Na pia taratibu za yule dada azikunilizisha.Sasa wakati nipo kwa ndugu pale, sasa apa naombeni munisikilize kwa makini, apa, ndio kuna jambo.

Nipo pale nikamuona mkaka mmoja,yupo na kondoo wake pale, kama kunajambo anaongea naho,napalepale, alikuepo dada mmoja nae nafikili alikua nimuusika kwamana alikua anapanga watu. Nikabidi nimuendee nae nimuulize talatibu, majibu yake akaniambia niende kule mbele kama mwanzo,nikasema du, atary nikachoka. Unajua lengo langusikutaka nipoteze muda pale, najaligi sana muda.

Sasa wakati nimeludi kwa yule ndugu. Tukibadilishana mawazo, pembeni yangu alikua anko, mmoja, nikaona sio vibaya kumuuliza, nikamwambia hivi apa ukitaka kuonana na uyu mtumishi, yule anko akaniuliza umekuja na sh, ngap? Nikaona ngoja nimuite ndugu yangu, nae aje hamsikie yule anko,anko akaendelea kutuambia, akasema yeye, amefanya kumleta mke wake pale na kwamaongezi yake yule anko,ametoa pesa sh,40000 lakini bado wanasema haitoshi,wanamtaka ahongezee lakini wp.

Akaendelea kutuambia kwamba kunawatu,wanalalamika, wametoa pesa lakini,akuna chochote. Zimeliwa akatudokezea,anasema garama zakumuona uyo mchungaji sh. laki 500000,akatuambia kuna mama yeye walimwambia atoe kwanza Elfu 50000, ataweza kumuona lakini matokeo yake katoa iyo pesa akuna chochote, anatuambia mpaka muda ule anadai pesa,yake,nasikia anataka kwenda police. Yani kwakweli nilichoka mimi na yule ndugu wakati anaendelea kufunguka yule anko,akaja yule dada, akamwambia yule anko haondoke pale, du yani atary yule ndugu akaniambia niende nikamchukue mgojwa tusepe,Jamani tuweni makini mambo ni mengi.
Umeelwwa ulichoandika?

Nasoma sipati kitu bado
 
Uandishi mbovu sijawahi ona!.
Inachosha hata kusoma japo story inavutia...
 
Hipo hivi, nilikwenda kwa yule, mtumishi wa mungu anaejihita, kiboko ya wachawi. Ebwana niliyoyashudia, jamani watu wanajua kutafuta pesa, mimi nasema nitabaki kwa dini yangu, hii ya Romani Katoliki.

Mpaka mwisho wa maisha yangu akuna mwamosa, sijui, musa, wala nani. Sasa nimefika pale,na sikua peke yangu, nilikua mimi na ndugu yangu pamoja na mgoj. Sasa tumefika pale eneo la tukio, mimi nikamwambia ndugu yangu. Ngoja niangalie taratibu apa nikatafuta wenyeji pale, kuna anko mmoja,akaniambia honana na yule dada. Kweli nikamfuhata, yule dada akaniambia nenda kakae pale na uyo mgojwa.

Nikaona hapana kwasababu pale nilikua na mgojwa, nikamtafutia kiti aweze kukaa. Mimi nikatoka mpa kwa yule ndugu, kumwambia. Na pia taratibu za yule dada azikunilizisha.Sasa wakati nipo kwa ndugu pale, sasa apa naombeni munisikilize kwa makini, apa, ndio kuna jambo.

Nipo pale nikamuona mkaka mmoja,yupo na kondoo wake pale, kama kunajambo anaongea naho,napalepale, alikuepo dada mmoja nae nafikili alikua nimuusika kwamana alikua anapanga watu. Nikabidi nimuendee nae nimuulize talatibu, majibu yake akaniambia niende kule mbele kama mwanzo,nikasema du, atary nikachoka. Unajua lengo langusikutaka nipoteze muda pale, najaligi sana muda.

Sasa wakati nimeludi kwa yule ndugu. Tukibadilishana mawazo, pembeni yangu alikua anko, mmoja, nikaona sio vibaya kumuuliza, nikamwambia hivi apa ukitaka kuonana na uyu mtumishi, yule anko akaniuliza umekuja na sh, ngap? Nikaona ngoja nimuite ndugu yangu, nae aje hamsikie yule anko,anko akaendelea kutuambia, akasema yeye, amefanya kumleta mke wake pale na kwamaongezi yake yule anko,ametoa pesa sh,40000 lakini bado wanasema haitoshi,wanamtaka ahongezee lakini wp.

Akaendelea kutuambia kwamba kunawatu,wanalalamika, wametoa pesa lakini,akuna chochote. Zimeliwa akatudokezea,anasema garama zakumuona uyo mchungaji sh. laki 500000,akatuambia kuna mama yeye walimwambia atoe kwanza Elfu 50000, ataweza kumuona lakini matokeo yake katoa iyo pesa akuna chochote, anatuambia mpaka muda ule anadai pesa,yake,nasikia anataka kwenda police. Yani kwakweli nilichoka mimi na yule ndugu wakati anaendelea kufunguka yule anko,akaja yule dada, akamwambia yule anko haondoke pale, du yani atary yule ndugu akaniambia niende nikamchukue mgojwa tusepe,Jamani tuweni makini mambo ni mengi.
Yaan ndugu yangu, jinsi unavyoandika kama, una hoja, lakin unashindwa kuiwakilisha vema. Maana unaanza kwa, kutufahamisha ubaya mkubwa wa Yule mtu. Nikafiriki labda kuna mnyama kama fisi alitokea au jini lilitokea, lakin unaishia elfu 50,000 na laki tano.
 
Muhimu umeeleweka, mambo ya mwandiko usijali kabisa.
 
Wengine mnamrekebisha mwandiko wakati na nyie mna matatizo ya kipuuzi kabisa ya R na L....cha msingi umepata ujumbe...
 
Ukitaka kujua huyo jamaa ni muongo ukisikiliza Furaha fm usiku jamaa anafufu mpaka watu eti na kabla ya kufufua anamwambia mtu atumiwe kwanza hela kwenye account yake ya benki ila hili taifa daah tunaangamia Kw kukosa maarifa sana. Yaani unakuta watu wengi wanaenda kwake eti hata kwa macho na masikio ya kawaida unaona kabisa huu ni uongo
Aiseeee, ni nani huyo?
 
Tafuta pesa wewe kijana... Hadithi yako inaonekana wewe na ndugu zako mpo ktk janga la umasikini uliokithiri, badala mpeleke mgonjwa hospital mnatafuta tiba za bei rahisi...
Hata kwa Mungu ukitaka uponyaji huwez kupata kirahisi rahisi lazima utokwe jasho la kimwili na kiroho...
Kasome Bible wafuasi wa Yesu walijikuta wanapoteza mali zao nyingi ili waambatane na Yesu na waweze kuingia mbinguni.... All in all tafuta pesa ili ukienda kanisani ukiona watu wanatoa malaki na mamilioni usimuonee wivu mchungaj padri nabii au mtume...
 
Kama upo dar njoo pm nikuelekeze Kwa bibi mmja ni mtumishi kanisaidia mengi sana,Hana njaa na Hela na hiyo sadaka ni uamuzi wako kutoa
 
KWENYE MATANGAZO YAO YA IBADA KWENYE TV MUDA WOTE ZINAPITA NAMBA ZA SIM ZA MPESA TIGO PESA AIRTEL MONEY CRDB NMB NK

Ova
Hizo hela ni kwa ajili ya kulipia vituo vya Tv tu hawazili wao, ni watu wema sana.
 
Back
Top Bottom