Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
tena matunda yenyewe ya Msauzi..genetically modified..... yuk..!!Chakula chenyewe kiko wappi baba mi naona matunda tu, tena wanayala kizungu na mirija nn...! Mimi nilijua ugali wa mtama, mboga ya mikubi na maziwa!
Chakula chenyewe kiko wappi baba mi naona matunda tu, tena wanayala kizungu na mirija nn...! Mimi nilijua ugali wa mtama, mboga ya mikubi na maziwa!