Suala sio kua single suala n ww kumjua mtu wako n wastail gan,coz mtu km mm ukinicheat bas ni ama zako ama zangu n bora uniambie tuachane ntakubali na stouliza hata sababu,lkn sio kupgisha k kwa mtu mwngne,yan kupita sehem ninayopita mm!!! Ahhhh,watu wengne tuna spirit mbaya,angalien na wanaume wa kuwafanyia ivo,wengne hatuwez vumilia,nakuua na mm najiua ,