Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
najikuta nampenda mleta mada
shindwa pepo!
najikuta nampenda mleta mada
Ahsante kwa ujumbe,mpe pole bakulutu.
Btw umemtaja Ruttashobolwa kama ndugu wa mgonjwa,hivi Madame B anajua kuwa anauguliwa tumbi?
Filipo mbona huyo pepo unayetaka ashindwe bado hajaleta madhara?
Between me & you , uko na personal interest huku kwa huyu bidada?
Roho ya Kaini imemwingia huyu jamaa. Analete mapenzi kwa anayemuhudumia mgonjwa. Hauoni hatari ya mgonjwa kupata mauti kwa kukosa huduma! Ndio maana nakemea mpz! Hakuna personal interest yoyote ingawa jina lake ni tamu sana kwa kweli!?
Filipo mbona huyo pepo unayetaka ashindwe bado hajaleta madhara?
Between me & you , uko na personal interest huku kwa huyu bidada?
sio mdada jamani heeee acheni kudandia magari moshi nyie jamani muuombeeni tu sio lazima kutaka kujua jinsia yake
Mungu akusamehe naona unalonena kwangu sio jema oky anyway sijali
Ahsante kwa ujumbe,mpe pole bakulutu.
Btw umemtaja Ruttashobolwa kama ndugu wa mgonjwa,hivi Madame B anajua kuwa anauguliwa tumbi?