Wakati kilakona ya Jiji la Mwanza Ccm wako busy na sherehe za chama kitaifa zitakazofanyika jijini hapa tarehe 5 mwezi huu ,wakazi wa jiji tunalia na kusaga meno juu ya mgao wa giza tulonao sasa yapata siku ya nne.Hivi namikoani kuko hivi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.