Sisy bht si ajabu ya kichina.kijana simu gani kwani hii isije ukawa na wewe ndo wale wale wa fasihi.....
sasa simu na JF Dr.......mbona cant get it
Sisy bht si ajabu ya kichina.
Wewe uanyeuliza hili swali kuna vibanda vya fundi simu wengi tu wanaujuzi na simu za aina yote jaribu kuwaona, utasaidika.
Nope!Lily ana simu yake si kubwa wala si ndogo.........hivi size nayo inaweza kuleta technical problems kwa simu????
I guessed sohapa mambo ya tasfida jamani ile naleta ladha kamili duniani
Nope!
nina simu yangu, si kubwa wala si ndogo. Tatizo kila nikiitumia kutuma meseji, inatuma mara moja, na chaji inaisha hapo hapo. Nikisema niichaji, inachukuwa muda kujaaa...... Nifanyaje.....!!!???
Inabidi uichaji kwa Mkuyati au dawa za wamasai.Ukitumia Viagra angalia usichanganye na kahawa.
Jamani mtoa mada ametumia tafsida kupita kiasi ndio maana wengine si rahisi kutambua mapema. Ngoja nifafanue kidogo,hiyo simu gani??
Mbona kama mambo ya kikubwa vile???
Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Sasa nimekupata mkuu.... Sasa Kaisiki wewe unaipenda, au?Jamani mtoa mada ametumia tafsida kupita kiasi ndio maana wengine si rahisi kutambua mapema. Ngoja nifafanue kidogo,
Simu = male organ
Message = sperm
Kaipake ileeee ya kichinaaaaaaaaNina simu yangu, si kubwa wala si ndogo. Tatizo kila nikiitumia kutuma meseji, inatuma mara moja, na chaji inaisha hapo hapo. Nikisema niichaji, inachukuwa muda kujaaa...... Nifanyaje.....!!!???
Ana hatari huyu na hiyo simu yake.......!!!!!hiyo simu gani??
Mbona kama mambo ya kikubwa vile???
Nina simu yangu, si kubwa wala si ndogo. Tatizo kila nikiitumia kutuma meseji, inatuma mara moja, na chaji inaisha hapo hapo. Nikisema niichaji, inachukuwa muda kujaaa...... Nifanyaje.....!!!???