Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

Ukifika third year utakuwa ushakuwa kidogo na kujitambua....first year bado unanukia nukia maziwa ya form six...
 
Haya shosti Apologise Lady ebu comment hili suala la huyu jamaa mana simuelewi hivi
 
Utafumuliwa linda wewe. Shauri yako jifanye mtakatifu sana au jijute una mawazo sana. Ndo utajua mjin hakuna wanyama ila binaadamu ndo simba
 
Thread zinazoanzishwaga usiku wa manane huwa nakuwa mwoga sana kushauri!
 
wakati unamtafuta mume wake uwe tayari umeshaanza mazoezi ya kushika ukuta... ununue mafuta ya K-Y .,,,.... ununue kinga....

pia andaa hela ya sanduku la parapanda...... pia sanda na nguo ya kukuzikia........ na hela ya kulipia eneo la kukuzika......

karibu tena
 
Umtafute mtu umwambie kwamba nilizini na mkeo naomba unisamehe? Unatania au umeamua kuongea tu. Kwa nini mnapenda kuwatafutia watu kesi na kuharibu amani na furaha zao. Ukishamwambia unategemea kupewa pipi kijti au?
 
Halafu na wewe mtoa mada, kama ulikuwa na uhusiano na huyo dada Enzi hizo na sasa ameolewa. Kwann uwe na feelings zake. Acha utoto huo.. unatakiwa kukubali kuwa yule ni mke wa mtu na wewe tafuta wanachuo wenzio uanze nao uhusiano.
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 22, pia nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza. Kuna dada ya shemeji yangu ambaye ameolewa ila katika kukua kwetu yaani utotoni wakati tulipokuwa shule ya msingi tulikuwa na uhusiano but sikuwahi kuzini.

Lakini wakati nilipomaliza kidato cha sita kwa hali isiyokuwa ya kawaida tulipoweza kuzini kwa siku ya kwanza na siku iliyofuata alikuja tena na tukazini tena, kwangu ilikuwa mara ya kwanza kumjua mwanamke na kufanya mapenzi.

Kitu kinachoniumiza mpaka leo, binti huyo ni mke wa mtu pia ameshazaa mara mbili, nataka nimtafute mme wake nimuombe msamaha ili niwe huru kifikra na moyo unaniuma sana nifanyaje But yeye huyo mwanamke nilimwacha siku nyingi.


Tushauriane vizuri ndugu zangu

Mtoa mada wewe nina waswaa mkubwa na akili yako.....huku chuo kikuu ndo mnafundishwaga njia ya kuwaza ivo???Tafuta CW wewe semister inakaribia kukisha..epuka suply...fanya shule..mpu...zi wee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom