Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

Thread zinazoanzishwaga usiku wa manane huwa nakuwa mwoga sana kushauri!

Zimelimwa hekali 5 tu za mahindi. Kile kirobo kilichokua kimebaki watafanya mgawanyo kesho.
Na zitakua hatua nane nane.
 
Sasa naamini madhara ya BRN. Kwa akili hiyo ulipaswa kuishia la saba. Over
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 22, pia nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza. Kuna dada ya shemeji yangu ambaye ameolewa ila katika kukua kwetu yaani utotoni wakati tulipokuwa shule ya msingi tulikuwa na uhusiano but sikuwahi kuzini.

Lakini wakati nilipomaliza kidato cha sita kwa hali isiyokuwa ya kawaida tulipoweza kuzini kwa siku ya kwanza na siku iliyofuata alikuja tena na tukazini tena, kwangu ilikuwa mara ya kwanza kumjua mwanamke na kufanya mapenzi.

Kitu kinachoniumiza mpaka leo, binti huyo ni mke wa mtu pia ameshazaa mara mbili, nataka nimtafute mme wake nimuombe msamaha ili niwe huru kifikra na moyo unaniuma sana nifanyaje But yeye huyo mwanamke nilimwacha siku nyingi.


Tushauriane vizuri ndugu zangu

Duh nenda naona unajaribu kumkonyeza simba sjui kama atakuelewa
 
Unataka kufa kabla hujaitwa na mwenyezi Mungu?jaribu uone yatakayokupata,tena ukome kabisa bwana mdogo,hiyo ndo dhambi yako ya kwanza kufanya maishani,unatafuta balaa wewe na utalipata.
 
Nenda tu, utakuja kutuambia kama naye hajataka akuzini na wewe.....
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 22, pia nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza. Kuna dada ya shemeji yangu ambaye ameolewa ila katika kukua kwetu yaani utotoni wakati tulipokuwa shule ya msingi tulikuwa na uhusiano but sikuwahi kuzini.

Lakini wakati nilipomaliza kidato cha sita kwa hali isiyokuwa ya kawaida tulipoweza kuzini kwa siku ya kwanza na siku iliyofuata alikuja tena na tukazini tena, kwangu ilikuwa mara ya kwanza kumjua mwanamke na kufanya mapenzi.

Kitu kinachoniumiza mpaka leo, binti huyo ni mke wa mtu pia ameshazaa mara mbili, nataka nimtafute mme wake nimuombe msamaha ili niwe huru kifikra na moyo unaniuma sana nifanyaje But yeye huyo mwanamke nilimwacha siku nyingi.


Tushauriane vizuri ndugu zangu

hujielewi!
 
hujakua kiakili, kuanza kusex kwa mara ya kwnza after umemaliza form six it means bdo mtoto mdogo saaaaaana na ukimaliza chuo ndo utajua km hata huyo ulonae n sahihi kuoa au laaaa...kuoa si kitu cha mchezo kjana pata experience kwa kuzipitia na kujipima uwezo ktandan hapo chuo then utajua nn maana yake saiv hyo k moja ndo inakupagawiiiisha...usiende kwa hyo mume otherwise utakwisha na ukijifanya mnyonge kwnye haya mambo utaishia kutooa...hivi kijana umeenda jkt? maana vijana waliopita jkt nawaona sio waoga na wanyonge hv...in this world ukijifanya weak UTALIWA
 
GOD sees everything,even those which we hve hidden in our heart(secret),dini inatwambia ukisamehewa ulimwenguni hakika MUNGU atakusamehee.
 
sizani kama kweli una miaka 22 na upo chuo kwa sababu post yako haiendani kabisa na sifa hizo anyway kifo chema utakapo enda kumwambia jamaa kuwa umewahi zini na mke wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom