Jamani Pinda vipi hilo shati nyuma?

Jamani Pinda vipi hilo shati nyuma?

Capitano

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
1,959
Reaction score
1,635
Mi yangu macho.

d2[1].jpg
 
Utajuaje km ile story ya mamba ni kweli na hapo alikuwa anamalizia kuchange km the simposons? Nimecheka kweli mazee!
 
wazee lakini wanavyoendesha mambo mpaka unashangaa na kusikitika
 
Hao watatu wote mashati yao yana kasoro, hii yote kutokana na woga wao na kutojiamini, ingekuwa wakati wa Mwalimu sijui wangekuwaje, maana inaonekana waoga sana, hofu kibao kumuona mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom