maph
Senior Member
- Oct 16, 2012
- 177
- 50
Jamani gari aina ya opa D4 inanizimikia ukiweka kwenye D , kwa yeyote alikumbuna na tatizo hili anipe msaada wa kina au fundi wa Magari ya kisasa kama haya .Nimebadilisaha pump ya mafuta,plug na nimeweka mafuta aina ya engine cleaner ili yasafishe kama kuna uchafu kwenye Nozeri lkn bado.
Ukiweka kwenye D inazimika na hii inatokea mara moja moja sana,tunauhaba wa Mafundi wa magari wa kisasa TAnzania ndo maana watu wengine waziogopa Engine za kisasa kama hiyo.
NB🙂
Ushauri wenu naomba usiwe ni kubadilisha Engine na kuuza.Asante.
Ukiweka kwenye D inazimika na hii inatokea mara moja moja sana,tunauhaba wa Mafundi wa magari wa kisasa TAnzania ndo maana watu wengine waziogopa Engine za kisasa kama hiyo.
NB🙂
Ushauri wenu naomba usiwe ni kubadilisha Engine na kuuza.Asante.