AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
kweli we cjui nikuiteje mana nashindwa hata kuwaza unawaza nn na hiyo elimu yako sasa unauliza nn hapo kwani hujui ka utamuumiza koz yy kakaa mda wote huo umepiga 4m5 na 6 zen chuo cjui miaka mingapi yy yuko tu lazima umuumize tena kishenzi ............ungemuambia mapema kabisa na unavozidi kuchelewa ndio mazara yanakuja kua makubwa zaidi ..............alafu ww unandevu si ndio wakati kuna watu hawana ndevu wanaomba ziwaote hata kama zikiwa na mvi tayari yy hajali mradi awe nazo na kufanya maamuzi sahihiKuna msichana ambaye nilitokea kumpenda nikiwa kidato cha nne miaka ya nyuma,tukawa wapenzi ila kwa mawasiliano cz mi nilikuwa shule mbali sana na anakosoma yeye.Nilipomaliza kidato cha sita nilikutana naye kimwili kwa mara ya kwanza na alionekana kunipenda kupita kiasi.Kwasasa nipo chuo namaliza mwaka wa mwisho yeye alifeli na kuishia kidato cha nne ila anaonekana kuniganda ili nimuoe wakati sina hata hisia naye tena.Hata akinipigia sitaki kupokea simu yake.
Wana jf nifanyaje ili tuachane coz nashindwa kumwambia ukweli,nahisi nitamuumiza.