Jamani nishaurini, nile au nisile...?

Jamani nishaurini, nile au nisile...?

Mtambuzi mimi nataka matokeo! Ulikula au hukula? Samahani nilichelewa kuona thread hii kwani nilikuwa nafuturu chakula fulani nakulaga mimi PakaJimmy na LiverpoolFC, kinaitwa nyagi. Haya nipe taarifa!

Nimekula mkuu Arushaone, japo kwa shingo upande... sasa hivi niko kwenye mghahawa wa Kichina na hapa pembeni niko na kabinti ka Kichina kanajichekesha chekesha kama kabinti Kakizaramo... naona kama vile kanajilengesha......
Sijui kama nitasalimika leo, na hivi nasafiri nako kwenda ZNZ....... Patachimbika aisee................LOL
 
Last edited by a moderator:
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::becky::becky::becky::majani7::majani7::majani7:
 
Hahahaahahah! kaka Mtambuzi wakati naanza kusoma kichwa cha habari kuwa ule au usile , mm nikadhani unataka kumla huyo mwanamke wa kichina, lakini nilivyoendelea mbele ikabidi nicheke sana.

MM nakushauri kula tu.
 
Mie napenda boga na ua lake ati.

Sishindwi ng'o..... Na ngoja niwe mama yako utantambua we mtoto. Lol

he he heeee! wewe Husninyo tafadhali my dear, usiniharibie ndoa my dear, mimi ndo mama mwenye nyumba
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, niko huku Masaki Chole Road karibu na tpsf, nina kikao na kampuni moja ya Wachina, sasa huyu binti wa kichina kaniandalia Chai ya kichina yaani imeungwa na tu vijani tubichi na kaniletea tuvitu flani tumekaa kama tambi lakini kama tuna vijicho halafu vikavu ananiambia ni bites za kichina na kuna tuvitu flani vimefanana na tende lakini mwe navifananisha na mende hivi.....

Mh, mwenzenu hapa nimepatikana....

Niko chooni hivi sasa naweka hii post nasubiri mnijibu kabla sijarudi kwenye kikao, yaani muafrika niko peke yangu halafu nimezungukwa na Wachina watano.

Mhhh....baba Ngina namba ulichukua!?? Ili kudumisha uhusiano wa kimataifa!??
 
Am here darling watu8, naona huyu Husninyo anataka kupindua nyumba yangu, shindwa kabisa....

tushamtuliza mbali dear...nakupenda sana darling wangu this weekend i want to take you out for dinner in one Chinese Restaurant downtown.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, niko huku Masaki Chole Road karibu na tpsf, nina kikao na kampuni moja ya Wachina, sasa huyu binti wa kichina kaniandalia Chai ya kichina yaani imeungwa na tu vijani tubichi na kaniletea tuvitu flani tumekaa kama tambi lakini kama tuna vijicho halafu vikavu ananiambia ni bites za kichina na kuna tuvitu flani vimefanana na tende lakini mwe navifananisha na mende hivi.....

Mh, mwenzenu hapa nimepatikana....

Niko chooni hivi sasa naweka hii post nasubiri mnijibu kabla sijarudi kwenye kikao, yaani muafrika niko peke yangu halafu nimezungukwa na Wachina watano.

Hebu gfsonwin, watu8, Asprin, snowhite, nivea, Lisa, Eiyer, cacico, Ruttashobolwa, madamu B, Paloma, KakaKiiza, Fidel80, Filipo, Kaizer, marejesho, amu, Mungi, Preta, sweetlady, FirstLady, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Mwita Maranya, Nyamayao lara 1 na wale wanaojua menu za kichina waje hapa kunipa maushauri kabla sijala kharamu..............

kama kashata, mbatata na ufuta umekula sana hukupata maarifa kama wachina bora ule hivyo vyao uwe mjanja kama wao.
 
Back
Top Bottom