Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
ukilitaja hilo jina la @husninyo yaani moyo wangu unameng'enyuka....najiwa na furaha isiyo kifani
Ahsanteee
ukilitaja hilo jina la @husninyo yaani moyo wangu unameng'enyuka....najiwa na furaha isiyo kifani
Huyo mama mbona ana jina kama mizizi ya sumu.!!!!
Ahsanteee
lako zuri sana babyQUOTE]
Ahsante baby
Aaaah sweetlady usisome hapa!!!
Hahahahahaha! Ntake razi kabla sijareport abuse !Huyo mama mbona ana jina kama mizizi ya sumu.!!!!
Dady yako kashanipenda ujueHahahahahaha! Ntake razi kabla sijareport abuse !
haya nipe fb umekula?
lako zuri?
Tena mwambie afumbe macho na atupishe honey wangu. Lol
Husninyo said:Mimi ni mama wa miaka 42, mpaka sasa ninavyoongea sina mume maana nimeachika. Jua langu mvua yangu, sina pa kwenda mwenzenu...kama kuna mwanaume yoyote anayehitaji mama la haja naomba aniPM
Akuuu! Namlinda baba angu!We mtoto wewe!!! Ntakung'oa meno kwa kucha!!! Kwanza kakojoe ukalale