Jamani nishaurini, nile au nisile...?

Jamani nishaurini, nile au nisile...?

Hahaha mkuu hautaweza kuharisha, labda kitachokusumbua ni ladha tu
 
Hahaha mkuu hautaweza kuharisha, labda kitachokusumbua ni ladha tu
 
Wakuu, niko huku Masaki Chole Road karibu na tpsf, nina kikao na kampuni moja ya Wachina, sasa huyu binti wa kichina kaniandalia Chai ya kichina yaani imeungwa na tu vijani tubichi na kaniletea tuvitu flani tumekaa kama tambi lakini kama tuna vijicho halafu vikavu ananiambia ni bites za kichina na kuna tuvitu flani vimefanana na tende lakini mwe navifananisha na mende hivi.....

Mh, mwenzenu hapa nimepatikana....

Niko chooni hivi sasa naweka hii post nasubiri mnijibu kabla sijarudi kwenye kikao, yaani muafrika niko peke yangu halafu nimezungukwa na Wachina watano.

Hebu gfsonwin, watu8, Asprin, snowhite, nivea, Lisa, Eiyer, cacico, Ruttashobolwa, madamu B, Paloma, KakaKiiza, Fidel80, Filipo, Kaizer, marejesho, amu, Mungi, Preta, sweetlady, FirstLady, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Mwita Maranya, Nyamayao lara 1 na wale wanaojua menu za kichina waje hapa kunipa maushauri kabla sijala kharamu..............

Kula konokono hao


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi mbona kimya? kikao kimeanza au tumbo iko korofisha?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom