Jamani nishaurini, nile au nisile...?

Jamani nishaurini, nile au nisile...?

Pole kwa changamoto za kichina Mkuu wangu Mtambuzi. But ningekushauri kabla ya kula ungemcheki kwanza huyo mchina kama amepigwa pasi......................... ukishahakikisha kuwa hajapigwa pasi trela iko sawa unaweza kula tu.
Ila ukigundua amepigwa pasi hana kitu kwenye trela usile manake unaweza jikuta nawe unapigwa pasi. vyakula ndo vinasababisha mtepeto kaka kuwa makini!
 
Pole kwa changamoto za kichina Mkuu wangu Mtambuzi. But ningekushauri kabla ya kula ungemcheki kwanza huyo mchina kama amepigwa pasi......................... ukishahakikisha kuwa hajapigwa pasi trela iko sawa unaweza kula tu.
Ila ukigundua amepigwa pasi hana kitu kwenye trela usile manake unaweza jikuta nawe unapigwa pasi. vyakula ndo vinasababisha mtepeto kaka kuwa makini!
Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaa, mkuu umeuwa mbaya.......... Lo lo lo lo lo loooooooo...............!!!!!!
 
Mie napenda boga na ua lake ati.

Sishindwi ng'o..... Na ngoja niwe mama yako utantambua we mtoto. Lol
Hahahaha! Acha kumdanganya baba etu bana lol. Hujaacha ujambazi kumbe, eti unapenda boga na ua! Khaaa, toka lini?

Utasubiri sana kuwa mama yetu.
 
By Husninyo<br />
Mie napenda boga na ua lake ati.<br />
<br />
Sishindwi ng'o..... Na ngoja niwe mama yako utantambua we mtoto. Lol
<br />
Hahahaha! Acha kumdanganya baba etu bana lol. Hujaacha ujambazi kumbe, eti unapenda boga na ua! Khaaa, toka lini? <br />
<br />
Utasubiri sana kuwa mama yetu.
Mie baba yenu nampenda kiukweli ujue. Usisababishe nikajirestisha in peace kabla ya umri.
 
Mie napenda boga na ua lake ati.
Hapa ushafeli mama, umechelewa sana maana yupo laaziz mwandani wa mtima wangu na ndiye mama wa binti zangu....

Husninyo said:
Sishindwi ng'o..... Na ngoja niwe mama yako utantambua we mtoto. Lol

over my dead body!!!
 
Babu umepatikana leo! Kesho uje utupe mlisho nyuma kuhusu reaction uloipata kama uMeipata!
 
Back
Top Bottom