embu tembelea akaunti yako ya tcu kuna ujumbe mpya.! Bt mimi nimeshangaa sana kukuta hili neno not admitted !! Ooh my God kama kuna yeyote mwenye uwo ujumbe aniambie !! Hapa nilipo nahisi kufa
nahc kuchanganyikiwa vp ww mkuu via ANALIA na KUKOJOA
hata mcofu co kuwa hujachaguliwa mm mwenyewe nlikuta hivo<not admitted>
mara ya kwanza but mara ya pili nlikuta nko admitted so jaribu tena
kheri yako mkuu
vp mkuu ulijisikiaje maana daah !!
umerudia mara nying?maan me ya kwngu nlvyofungua iksema nt admitted kufunguafungua ikaniandkia you r admittedembu tembelea akaunti yako ya tcu kuna ujumbe mpya.! Bt mimi nimeshangaa sana kukuta hili neno not admitted !! Ooh my God kama kuna yeyote mwenye uwo ujumbe aniambie !! Hapa nilipo nahisi kufa
thanks GOD nimeingia tena nimekutana na huu ujumbe ' YOU ARE ADMITTED ' via anapiga mayowe kama kichaa
ze duduz acha kutuchora we sema tu ulkua unataka ujue wadau ambao nao wamekosa