gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
jamani wana chit chat humu jamvini kuna mtu namfeel sana ila sijui ni nani ila si kama wa kumoyo manake Kaizer ni zaid yake, na si kama wadogo manake Excellent, mbombinho, Eiyer platozoom na Smile wananipafaraja. si kama mwanangu manake Ronn M ni pekee na wala si kama ma shostito manake Kongosho, King'asti @, charminglady Kipipi, sweetlady Erotica na wengine wote wanatosha sana na si kama ma kaka wangu wa ukweli manake Mr Rocky, BAK, SnowBall, Azimio Jipya, mito, cartura na wengine wanatosha pia. si kama dada mkubwa Remmy wala mama mzazi kama Mamndeny wala si kama msiri wangu cacico she is worth that a miilion times.
mtu huyu namfell tu ila sijui nimweke kundi gani sasa nataka mumtaje nyie ajue kwamba mimi nanmfeel na musuggest cheo chake kwangu. erick b52 na Bishanga nategemea busara zenu.
ujumbe ninaompa siku ya leo idi pili ni................sifa ya moyo tamaa.
mtu huyu namfell tu ila sijui nimweke kundi gani sasa nataka mumtaje nyie ajue kwamba mimi nanmfeel na musuggest cheo chake kwangu. erick b52 na Bishanga nategemea busara zenu.
ujumbe ninaompa siku ya leo idi pili ni................sifa ya moyo tamaa.
Last edited by a moderator: