Jamani niruke nae au nighairi?

Ooh, ok mkuu, ni kama mama ntilie flani hivi basi Kuna mawili:

Either utembee naye upunguze kula hapo au utembee nae uwe mwekezaji hapo.
Yaani ndo risk nilikuwa naona inaenda kutokea ila akiendekeza michezo yake walah namla mimi
 
Nguvu za kiume hazipaswi kutapanywa hovyo,zitunze kwa gharama yoyote. Kuna siku utanishukuru!
 
Nguvu za kiume hazipaswi kutapanywa hovyo,zitunze kwa gharama yoyote. Kuna siku utanishukuru!
Mmm kupingana na vishawishi nayo ni kazi nyingine ngumu sana hasa kwa sisi wanaume. Imagine demu anakuja kupapasa upaja wake huku anarembua Jogoo ataacha kuwika kweli ndugu? Na bado kila siku anatafuta namna
 
Hahaha umesoma uzi kiongozi?
Nimeusoma wote, kwa wanaofanya kazi kwenye migahawa mara nyingi huwa na vitendo kama hivyo na si kuwa unapendwa.

Halafu aliyekuambia mtu akinawiri hawezi kuwa na ngoma? Au wewe bado ni mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…