Jamani nimetapeliwa

Mzungu!!! wakati ni huyo huyo jamaa anaongea kingreza kibovu.!
Kwa hiyo ulivyopata dili hilo la hela ukakaa kimya huku mwambia mtu ili utajirike peke yako sio!
Hii imewah mtokea jamaa angu tukiwa tunasoma IFM, alipokeaga simu jamaa akajitambulisha kua alikua akfahamiana n uncle wake, Et yy yuko site ss Kuna vipuli sijui vy nn jamaa yangu avipokee Dar then avipost kw mshikaji ila cost yote y kuvipokea itakua juu y huyo jamaaa yangu,Kisha atakapokua ana vipost hao watakaokuja kuvchukua wataleta pesa ya jamaa yangu n cha juu, aliahidiwa pesa ming Kama 3M hiv, na hapo bumu ndo lilikua limetoka


Sasa Siku hiyo tupo chuo nakaona kamtu kako busy, namwambia dogo mbona huelewek ww, akanambia dogo naelekea mwenge ngoja nikirudi,akamchukua jamaa mwingine wakaenda nae, baada y kufika mweng jamaa taaap akatua n gar akamwambia ampe lak 9, wakajichanga wakampa, akawapakia kweny gar had location inanyumb nying ndan getin Kuna mlinzi ili wakapew huo mzigo, kufk getin yule jamaa kawaach getin kw mlinz kaingia ndan

Kwan alionekana tenaaa, ikawa imetoka hiyoo, Jamaa karud getto n mawazo tuu aliiona akinambia hatopiga mpunga mwingi alitaka atajirike peke ake, mm ndo nikawa namlisha geto sasa

Izi mambo z mizigo cjui vipuri ni uongoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni zumbukuku, tulia uliwe 0716
 
Tamaa mbele mauti nyuma
 
Japo kwenye kutapeliwa hakuna mjanja ila kwangu mimi inabidi ujiongeze sana sana! Mimi hata Marafiki niliokutana nao from JF sijawahi kuwaamini, never! Yaani najua dakika yoyote naweza kupigwa
 
Haya mambo ya mitandao nilianza kukutana nayo mwaka 2003 miaka hio waliliza watu wengi sana na email zao zile za September 11, sijui wanataka kukutumia dollars... Never
 
Siku nyingine utatumwa mzigo wenyewe madawa ya kulevya, na ukishalupia tu ndio unakamatwa Kama ndio muagizaji wa huyo madawa! Hebu amkeni ktk ujinga huo...hakuna free lunch siku hizi atii!
 
hawa matapeli washenzi sana ila kwa mjanja lazima utashtuka tu, mi huwa sikatai dili ile wakianza kuleta zile pigo zao za kutaka hela sijui tuma kwenye namba hii ndipo napowaumbua kuna mmoja alijichanganya akataka kuniibia ki-style eti kanipanga kuhusu mzigo unaokuja tupige hela nzuri ulipofika akadai kapata dharura hivyo hela imepungua ila atanirudishia akatuma kama laki 2 nami niongezee laki 3 afu nitume kwenye namba fulani ya mtuma mizigo,

usipokuwa makini unaweza sema ni kweli, nikasema potelea pote nikatoa dakika hiyo hiyo na nikakausha jamaa hazijapita hata dakika 10 alivyoona kimya akajaribu kurudisha kwa mtandao wakakuta akaunti empty, nikapigiwa hadi na watu wa simu wakasema kuna mteja katuma hela kimakosa na umeitoa fanya urudishe vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yako.

nikawajuza huyo ni tapeli tu, nimeshazungumza nae vya kutosha hakuna cha wrong number wala nini alikuwa ananiaminisha ili anipige, nikasema fanyeni mnachotaka location yangu mnaijua nipelekeni polisi halafu mdai aje kudai haki yake huku nikijua fika mazungumzo yetu nimerekodi,na screenshot nimepiga....
hasara niliyopata Akaunti ya hiyo simu pesa nilifungiwa na ukituma hata 100 inazuiwa...ila yule boya hajajitokeza mpaka leo
 
Hahahaa ulimkomesha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…