Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,047
- 3,322
aiseee,me nakupiga kipapai daaaadeq 😞
Ulitaka afanyeje?? Kumshitaki hawezi, kumkamata hajui aliko. Sasa atamtafutia wapi wakati ametokomea kusikojulikana?? Amloge yaishilie mbaliAsee unanitisha kaka
Mkuu,Nenda kwa mganga wa kienyeji!
Anyway
1. Karipoti polisi juu ya upotevu, wizi na mwizi mwenyewe. Hii itakusaidia wewe pale ambapo kompyuta yako itakapotumika kutenda uhalifu itajulikana kuwa wewe hauhusiki. Pia utapata RP ya polisi.
2. Mtafute jamaa bila jasho mdogomdogo utampata tu na jinai haiexpai ukimnasa tu, polisi. Atatema kila kitu na gharama juu.
3. Kama ana kwake au unajua kuwa ana mali yoyote popote kachukue mali yoyote yenye thamani sawa au pungufu ya thamani ya mali alizotokomea nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app