Habarini wakuu,
Wakuu nimetapeliwa au niseme kwa lugha nyingine nimedhulumiwa na jamaa yangu, iko hivi awali huyu jamaa alikuja kwangu akidai nimwazimishe computer yangu akadai kuna kazi anaenda kuifanya nikampa two days later akaja kwangu tena akadai vibaka wamemkaba wamemnyang'anya pesa yote aliokuwa nayo akaomba nimkopeshe laki 3.
Baada ya siku 4 angenirudishia kwa vile ni jamaa yangu tumetoka mbali na tumepitia misoto mingi wote nikaamua kumpa kiasi hicho, sasa juzi nimefatilia computer yangu na hela yangu kwake naambiwa ametokomea kusiko julikana na nikijaribu kupiga simu yake haipatikani kabisa asee yaani hapa nilipo nasikia kichwa kinauma balaa tafadhali nipeni mawazo hatua gani nichukue dhidi ya huyu jamaa.
Shukrani
Wakuu nimetapeliwa au niseme kwa lugha nyingine nimedhulumiwa na jamaa yangu, iko hivi awali huyu jamaa alikuja kwangu akidai nimwazimishe computer yangu akadai kuna kazi anaenda kuifanya nikampa two days later akaja kwangu tena akadai vibaka wamemkaba wamemnyang'anya pesa yote aliokuwa nayo akaomba nimkopeshe laki 3.
Baada ya siku 4 angenirudishia kwa vile ni jamaa yangu tumetoka mbali na tumepitia misoto mingi wote nikaamua kumpa kiasi hicho, sasa juzi nimefatilia computer yangu na hela yangu kwake naambiwa ametokomea kusiko julikana na nikijaribu kupiga simu yake haipatikani kabisa asee yaani hapa nilipo nasikia kichwa kinauma balaa tafadhali nipeni mawazo hatua gani nichukue dhidi ya huyu jamaa.
Shukrani