Na akafie mbali..Shindwa, ulegee, usambaratike, na upeperushwe na upepo
We kongosho vp? Mm nimekwambia nimeota au unadhani hili haliwezi kutokea? Au unataka nimwambie mods wakuchome moto?
Tena mbali sana Nkasi
haiwezi kutokea kama ikitokea nitajitolea kutembea uchi njia nzima kupinga hilo swala. Nashut down