Jamani nimeibiwa simu yangu sony experia t26i

Jamani nimeibiwa simu yangu sony experia t26i

shaubar

Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
39
Reaction score
10
Jamani nimeibiwa simu yangu Iringa nilikua nikitokea mbeya sasa leo imeniletea picha kwenye email yangu ya gmail kwamba kuna picha imepigwa na picha ya huyo mwizi ni hii apo je nifanyaje kumpata? kwani nilishuka tuu pale maeneo ya ipogolo kuunganisha gali ya dar kwani nilikua nawai Dar kwenye mazishi ya baba yangu mzazi sasa nimejikuta nimepoteza cm na baba mzazi pia
naomba msaada wenu jamani
attachment.php
 

Attachments

Huyo mwizi inaonesha bandidu alafu ana sura kavu,subiri waje wataalam wa hizi mambo simu yako utapata.
 
Huyo atakuwa kibaka wa hapo hapo iringa;
ukipeleka picha ninavyojua ukaribu wa mkoani
ni lazima atapatikana.

Pole na msiba wa mzee wako.
 
Sijaelewa bado.....sasa Iyo picha imejipigaje?yaani imekuaje mpaka ukapata iyo picha ya mwiZi
 
Sijaelewa bado.....sasa Iyo picha imejipigaje?yaani imekuaje mpaka ukapata iyo picha ya mwiZi
picha inaweza kuwa imekua sycn kwenye account ya mwenye simu alafu ika upload kwenye dropbox..
mwenye simu akipata simu nyingine ana register same account naku retrieve data zooote
..sasa hapo kibaka atakua hajalog out chochote zaidi yakuchange chip
 
Pole ndgu,kama umeweka applicatn ya anti theft kwa nn usiitrace kupata mawasiliano na mwizi huyo!
 
Huyu inaonekana ni kibaka mzoefu, akikamatwa sheria ichukuwe mkondo wake.
 
Back
Top Bottom