Jamani nimeibiwa simu yangu Iringa nilikua nikitokea mbeya sasa leo imeniletea picha kwenye email yangu ya gmail kwamba kuna picha imepigwa na picha ya huyo mwizi ni hii apo je nifanyaje kumpata? kwani nilishuka tuu pale maeneo ya ipogolo kuunganisha gali ya dar kwani nilikua nawai Dar kwenye mazishi ya baba yangu mzazi sasa nimejikuta nimepoteza cm na baba mzazi pia
naomba msaada wenu jamani
naomba msaada wenu jamani