Jamani ni umri gani sahihi wa kuoa?

tasante sana kwa ushauri wako ..ushauri umeenda shule sana na moja kwa moja inaonyesha kuwa wewe ni mtu mwenye hekima nyingi sana God bless you ..nimeamini kweli hii ni GT .salute
 
pamoja mkuu ..nimekupata
 
Mmmh! Sijakuelewa hapo. Unasema huna msichana na wala hujawa na hisia za kuanza kumtafuta! Inakuwaje mwanamume aliyekamilika wa miaka 30 hana msichana wala hisia za kuanza kutafuta????? Katika hali ya kawaida unaweza ukawa huna msichana lakini huwezi kutokuwa na hisia. Hebu niweke sawa hapo. Ina maana unataka tu kuoa kwa sababu watu wote wanaoa? Au kwa sababu unajisikia kuoa?? Hakuna umri juu ya lini uoe baada ya kubalehe. Mipango yako ya maisha inaweza kukuchelewesha au kukuwahisha kuoa.
 
umeniacha njia panda kaka

Mkuu muda wako kwa sasa unatafuta mwenzi wa maisha na sio tena kutamani wanawake kila anayepita unamtaka
Kw ahapo wewe unatafuta mwenzi utakayekuwa nae maishani mwako na sio kutamani
Ndo maana amekuambia kuwa utofautishe kati ya kupenda na kutamani
 

kwa mjibu wa wana social psycologist wanasema:-
1. 18-25 ni kuoa
2. 25-30 kuzaa watoto, kutengeneza familia
3. 35-45 kuendeleza familia yako kwa kuwapa shule inayostahili, hata kama ukifa waweze kujisimamia.
4. 45-55 ni kujiandaa kustaafu na kupumzika kufanya kazi za kuzalisha mali moja kwa moja.
5. 55-65 umeshastaafu, unakula pension yako, watoto hawakutegemei kwa lolote zaidi ya ushauri, na unaweza ukaingia kweye mabaraza ya maamuzi ili kujenga misingi bora ya wajukuu zako kuishi vizuri.

hivyo kama hujaoa na huna sababu ya msingi, tayari unakaribia kuchelewa, kwani kinyume na hapo kuna uwezekano wa wewe kutokuona maendeleo ya wanao hasa kielimu na mambo mengine ya msingi. Fanya hima, oa, anzisha familia ili kufikia 35, uhangaike namna ya kuwasomesha tu.
 
loh hapo redi ni lipo kumbe ni noma mama yangu weeeeeeeeeeeee
 
loh hapo redi ni lipo kumbe ni noma mama yangu weeeeeeeeeeeee

kama ndo umri wako na hauna mtoto, imekula kwako. zaidi utatuongezea watoto vibaka, kwani kwa mjibu wa life expectancy ya mtanzania ya 47 yrs, umeshavuka na unasubiri kujifia tu. pole sana ndugu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…