John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
- Thread starter
-
- #21
tasante sana kwa ushauri wako ..ushauri umeenda shule sana na moja kwa moja inaonyesha kuwa wewe ni mtu mwenye hekima nyingi sana God bless you ..nimeamini kweli hii ni GT .saluteYan nikupongeze sana kama ni kweli umefika umri huo bado ni bikra! Watu kama ninyi ni adimu sana kuwapata enzi hizi.
Kinachonifurahisha ni kwamba wewe mwenyewe umeshajua kwamba sasa ni umri wa kuoa ndiyo mana umekua na wazo hilo la kuuliza hapa JF! Kwa kawaida kama usingejua umefika umri wa kuoa wala usingeuliza. Kimsingi umri wa kuoa ni baada ya kutimiza umri wa mtu mzima (18yrs) ila sasa inategemea na ukomavu wa akili (yan kuweza kutunza familia) unaweza ukawa na miaka hata 40 ila akili bado ikawa ya kurukaruka na ukashindwa kutunza familia. Ila kwa wewe nafikiri umri wako unafaa na umeonyesha kukomaa kiakili baada ya kutafakari na kuleta jambo hii kwa wanaJF.
Mia nakupa big up sana anza kutafuta mchumba sasa ONYO usikute ndiyo mbinu zako za kutafuta dada wakifikiri wewe bikra kumbe FATAKI!!!!!
duh..huu sasa si ni ugonjwa?30 tu unaogopa? Mbona wengine tuko mara 2 ya hapo hata kufikiri bado? Oa pale tu unapojiona uko tayari kijana usiangalie umri loh
Aisee umepotelea wapiHili halina formula, ukiwa tayari utaona unatafuta mshenga.
pamoja mkuu ..nimekupataTrustme umeongea vyema sana
Na hilo ndio la muhimu maana kinachotakiwa ni ile akili kukomaa na kujijua kuwa sasa anaweza kukaa na familia yake na wakaunda familia
Maana wengine umri unaweza kuwa mkubwa ila bado akili ya kujua kuwa ana familia na vipi aishi na familia yake inakuwa haipo
Ni jambo la muhimu kama ameweza kujitunza kiasi hicho na ni wakati wake sasa kukaa na kuunda familia
umeniacha njia panda kakaOa pale tu utakapoweza kutofautisha kati ya utamu na majukumu
Aisee umepotelea wapi
umeniacha njia panda kaka
Vijana wanataka kuoa kuongeza uzao, Good to see youkwenye machimbo ya Uranium. Nafurahi kuona mnawashauri vizuri vijana wetu.
naona uzee unaninyemelea wandugu sina mshichana na wala sijawa na hisia za kuanza kutafuta na ki finacial nipo safi na kielimu pia ..but i realy dont know the age of getting marriage.. nakaribia kuwa na miaka 30 baada ya mwaka mmoja ..je nitafute mke au bado niendelee kuwa bachela?
kuna tatizo lolote kubaki hivi ..msaada wenu watu wangu unahitajika hapa ..msinirushia madongo kwani mawazo yenu as a great thinker yatanijenga na wala sio kunibomoa ..
thanks guys and have a nice time:
loh hapo redi ni lipo kumbe ni noma mama yangu weeeeeeeeeeeeekwa mjibu wa wana social psycologist wanasema:-
1. 18-25 ni kuoa
2. 25-30 kuzaa watoto, kutengeneza familia
3. 35-45 kuendeleza familia yako kwa kuwapa shule inayostahili, hata kama ukifa waweze kujisimamia.
4. 45-55 ni kujiandaa kustaafu na kupumzika kufanya kazi za kuzalisha mali moja kwa moja.
5. 55-65 umeshastaafu, unakula pension yako, watoto hawakutegemei kwa lolote zaidi ya ushauri, na unaweza ukaingia kweye mabaraza ya maamuzi ili kujenga misingi bora ya wajukuu zako kuishi vizuri.
Hivyo kama hujaoa na huna sababu ya msingi, tayari unakaribia kuchelewa, kwani kinyume na hapo kuna uwezekano wa wewe kutokuona maendeleo ya wanao hasa kielimu na mambo mengine ya msingi. Fanya hima, oa, anzisha familia ili kufikia 35, uhangaike namna ya kuwasomesha tu.
okeeeeevijana wanataka kuoa kuongeza uzao, good to see you
Halafu una kesi na mimi lolokeeeee
loh hapo redi ni lipo kumbe ni noma mama yangu weeeeeeeeeeeee
Halafu una kesi na mimi lol
Wewe utamtetea banaa mimi anaweza asinione tena banaanaomba niwe mediator please
Baba Aminata inakuwajeemuoe huyo bebii ...yuko so lonely
nani huyo ni zamani kaka si sasa? Single but not availablemuoe huyo bebii ...yuko so lonely
Wewe utamtetea banaa mimi anaweza asinione tena banaa