Jamani ndoa ngumu au...........!!!!!???

Si ndio km hivyo tena nimezimika mpaka nakubali mahari ya sred ya utamu wa ndoa wakati wenzaku wanataka mamilion!
Nakupa siku 3 j3 naomba utuwekee huo uzi naamini hata wale ambao wana machungu ya ndoa au mapnz basi watapata ahuen kwa kuusoma!
Namuulizia babu yangu kipnz Asprin umemwona wapi?ujue huyo ndio mtoa idhin ya ww kunioa so anza kumpa advansi kbs lol!
hehehe huyo babu askushtue sana, ukimpa kopo mbili tu za mvinyo anatoa idhini halaf ni fellow tablet pia. yupo kule kwenye sredi la mawasiliano na mapenzi.

sredi linahitaji mwezi bana! unajua litakuwa sredi la kufa mtu, yaani baada ya hilo sredi basi idadi ya ndoa lazima iongezeke tanzania
 
hehehe huyo babu askushtue sana, ukimpa kopo mbili tu za mvinyo anatoa idhini halaf ni fellow tablet pia. yupo kule kwenye sredi la mawasiliano na mapenzi.

sredi linahitaji mwezi bana! unajua litakuwa sredi la kufa mtu, yaani baada ya hilo sredi basi idadi ya ndoa lazima iongezeke tanzania
Haaa haaa,kwa babu yangu wala siogopi sn kwavile ni kidonge mwenzio naamin hawezi kunyima mke lol!
Du!huo uzi utakuwa tishio sasa kwa ongezeko hilo itabidi uwe unatoa masred yakuzijenga pia,ila uweke aya ya onyo wasije wakanogewa na wakahamasika mpaka wakaoana zile ndoa za kukameruniana,lol!
 
Haaa haaa,kwa babu yangu wala siogopi sn kwavile ni kidonge mwenzio naamin hawezi kunyima mke lol!
Du!huo uzi utakuwa tishio sasa kwa ongezeko hilo itabidi uwe unatoa masred yakuzijenga pia,ila uweke aya ya onyo wasije wakanogewa na wakahamasika mpaka wakaoana zile ndoa za kukameruniana,lol!
Dah! hapo red usiseme kwa sauti wataniloga. wanga kibao hapa JF
Hao wakameruni huwa hawahitaji sredi hao, wanafanyaga tu mambo yao hehehhe lakini kwa usalama zaidi na kwavile sweetheart umerequest basi usjali tutaweka onyo
 
Dah! hapo red usiseme kwa sauti wataniloga. wanga kibao hapa JF
Hao wakameruni huwa hawahitaji sredi hao, wanafanyaga tu mambo yao hehehhe lakini kwa usalama zaidi na kwavile sweetheart umerequest basi usjali tutaweka onyo
Watachoka wenyewe tutakutibia tu dawa mbadala kibao kwa babu asprin na mzizi mkavu lol!
Asante darling kwa kukubali kuweka onyo hilo coz nina marafiki zangu wakaka kibao tusijekimbiana bure!
Nusubiri kwa hamu ili nishawishike kujiunga na taasisi ya ndoa lol!
 
Sasa hapo ugumu uko wapi? Mi naona ungesema ndoa rahisi, maana kama hao, baba kaondoka hajaaga anaenda wapi na mke wala haoni umuhimu wa kujua na yeye kabeba begi lake huyo kwa BF wake. Wataelezana walikuwa wapi wakisharudi nyumbani, tena kama wataona kuna umuhimu..
 
Du!hii taasisi ya ndoa kila nikiifikiria kuwa ipo siku nitaingia huko huwa kichwa kinauma!yani sikumbuki ni sred ngapi kwa mwezi zinaandikwa humu za kuisifia au kuiongelea vizuri na kutuhamasisha ambao bado tupate hamu ya kuingia humo!
Haya bwana kwa tukio hilo naona ngoma ni droo!

Usiwe na shaka. Ndoa kama mahusiano mengine zina mazuri mengi tu na yumkini mabaya pia. Ila lazima ujue kuwa mara nyingi habari inayouza ni ile inayoongelea mambo mabaya ndio maana ukifungulia TV utakuta ni habari za vita, vifo, ugaidi na mambo yanayofanana na hayo. Lakini hii haina maana kuwa dunia yote imejaa vita, magonjwa, ugaidi na mambo hayo. Waandishi wa habari wanasema habari ya mbwa kumng'ata mtu siyo habari kwa sababu ni jambo linalotokea kila mara ila ikitokea mtu akamng'ata mbwa na kumjeruhi hiyo itakuwa ni habari motomoto. Ukweli ni kuwa mambo mazuri yanayoendelea kwenye ndoa ni mengi kuliko haya yanayotolewa kwenye JF na ndio maana hayawavutii waandika thread.
 
mmmm ndoa zilikuwa enzi za mababu, baba zetu sasa ndoa ni usanii mtupu!

kilichobaki ni kufunga kwa kumuomba huyu muumba azinusuru ndoa zetu.
 
Usiwe na shaka. Ndoa kama mahusiano mengine zina mazuri mengi tu na yumkini mabaya pia. Ila lazima ujue kuwa mara nyingi habari inayouza ni ile inayoongelea mambo mabaya ndio maana ukifungulia TV utakuta ni habari za vita, vifo, ugaidi na mambo yanayofanana na hayo. Lakini hii haina maana kuwa dunia yote imejaa vita, magonjwa, ugaidi na mambo hayo. Waandishi wa habari wanasema habari ya mbwa kumng'ata mtu siyo habari kwa sababu ni jambo linalotokea kila mara ila ikitokea mtu akamng'ata mbwa na kumjeruhi hiyo itakuwa ni habari motomoto. Ukweli ni kuwa mambo mazuri yanayoendelea kwenye ndoa ni mengi kuliko haya yanayotolewa kwenye JF na ndio maana hayawavutii waandika thread.
Afadhali hata ww kidogo umenipa moyo,na kuhusu story uko sahihi kbs ila basi mie nawaomba wanandoa waandike na uzuri wake hata mara chache chache basi japo nasi tupate hiyo positivu saidi yake angalau hata tukiingia huko tujue tu kuwa some time kuna kuenjoy na si matatizo tu km wanavyoandika kila siku!sio wote wanakuwa na ufahamu wa kuwa watu wanatafuta story inayouzika tu,wengine wanaamini kila wanachosoma humu km mie nilipokuwa msomaji tu,ila nilipojiunga nimeweza kubain kuwa baadhi ni story tu!
 
Kweli mambo ni magumu ila huyo aliyeondoka bila kumuaga mwenzake atamlaumu mkewe atakapotembea nje?
yale yaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!! yet another justification,endeleeni tu kutoa visingizio,mpaka orodha ya visingizio iishe.
 
Du!hii taasisi ya ndoa kila nikiifikiria kuwa ipo siku nitaingia huko huwa kichwa kinauma!yani sikumbuki ni sred ngapi kwa mwezi zinaandikwa humu za kuisifia au kuiongelea vizuri na kutuhamasisha ambao bado tupate hamu ya kuingia humo!
Haya bwana kwa tukio hilo naona ngoma ni droo!

Ndoa ni kama zimwi lililolala bibie!Unatakiwa uliamshe kwa uangalifu maana ukilikurupua vibaya linakurupuka kwa hasira halafu linakujeruhi vibaya sana!Halafu ndoa ni kama nyumba ya ajabu maana walioko nje wamerundikana mlangoni kwa nje wanatamani kuingia ndani na waliopo ndani nao wanasukuma mlango wakiwa ndani nao wanatamani kutoka nje!Natumai imeielewa hiyo falsafa.,,,,Lakini usitishike karibu kwenye ulimwengu wa ndoa bibie!
 
Nipo katika mkoa wa kilimanjaro,nilikuwa najipatia msosi mahali moshi town, nikawa nimekaa meza moja na jamaa ghafla akaongezeka mama(around 30's).kumbe alikuwa mgen wa jamaa. Maongezi yao:
jamaa anapiga shughuli za ukonda arusha-moshi, mmama ni mkeo wa mtu na pete anayo.
Jamaa: vipi mzee mzima?
Mama: mzima ila ameniaga tangu juma2.
jamaa: ameenda wapi ss?
Mama: sijui ameniaga tu!
Jamaa: sasa wewe ulienda wapi mbona hukunitafuta?
Mama: mm nilikuwepo si kwenda mahali!
Jamaa: una uhakika.....!
Mama: ndio!
Jamaa: basi nitaangalia leo kama kweli tokea juma2 mmeo ndo amekuaga!
Wakaniangalia kama ninawasikiliza.
Akachukua simu ya mama anapekuwa,
mama: acha basi kupekuwa simu kwenye meseji.
Jamaa: naangalia meseji za mmeo anazokutumia........!
(wakawa wanapiga stori nyingine....)
Jamaa: fanya fasta basi tuna chelewa.....!
Sasa nikajiuliza huyu mke wa mtu toka arusha hadi moshi inamaana haridhiki na mme wake?
Je kweli ndo msemo demu wako wa zamani hata kama ameolewa una-access anytime!
This is not a story, nikweli kabisa kwa masikio,macho nimeshuudia.

hii kweli ngoma droo. Inanikumbusha ule wimbo kuwa noti feki ikanunua cheni bandia. Sijui nani yule mtunzi
 
Migogoro ya ndoa husababishwa na wanandoa wenyewe, hawataki "kuvunja ukimya" na kusahau yaliyopita!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom