Jamani naumwa

hahahahaha...hahahahaha:D:D:D mpwa hapo umeua kabisa

Bado sijafa hommie! Ngoja nikawahi Valuu nitetee uhai wangu! Mpwa kanitwanga dongo kali sana! Pole sana Pearl Mpenzi. Hope kesho utakuja hapa kutuambia umepona. Naenda kupiga rozari mafungu ya utukufu kwa ajili yako!
 
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni

Kwani hauko nyotani? ama jana usiku U did that I wouldn't do?
 
Pole sana, ugua pole, ila kama maumivu yakiendelea nenda ukamwone daktari akushauri vizuri.
 
Kwani hauko nyotani? ama jana usiku U did that I wouldn't do?
Eti?

hahaaaaaa Dr mwingine huyu hapa
kazi kwer kwer!!!!!
Huyu namuaminia Pearl, msikilize kwa makini ufuate ushauri wake.

Hahahaahha mambo ya Zantel sorry I meant tiGo
Umemuelewa?

I dnt play zoz gems bana,wala siko nyotani
Umeona sasa. Sasa pata ushauri bora zaidi hapa chini! Which games are you playing then?

U better try is a good therapy thou!
Hope umeuelewa. Am out!
 
Thats my mamushka! LOLZ!

chief editor......................

U better try is a good therapy thou!

mganga mfawidhi wa Zenji

Na wewe kubana riziki za watu hivi ukoje hivyo lazima nimwambie B umezidi sasa unoko.

tatizo weewe unapenda vya watu
ukiona vyaelea vimeundwa bana sasa ukinisemea kwa B na hii ni interest ya kifamilia sidhani kuna impact yoyote on ur favour hapo.....
 
tatizo weewe unapenda vya watu
ukiona vyaelea vimeundwa bana sasa ukinisemea kwa B na hii ni interest ya kifamilia sidhani kuna impact yoyote on ur favour hapo.....

Katamka wazi hapo juu yupo singo wewe ndo unaanza kuziba mianya au wewe unajua ana mtu huyu bana yupo alone hana mwenyewe ni mpweke kwa sasa anahitaji faraja za pekee kutoka kwa Dr.Fidel endelea kubana utakapo alikwa siku ya kumvisha pete usisuse.
 
Katamka wazi hapo juu yupo singo wewe ndo unaanza kuziba mianya au wewe unajua ana mtu huyu bana yupo alone hana mwenyewe ni mpweke kwa sasa anahitaji faraja za pekee kutoka kwa Dr.Fidel endelea kubana utakapo alikwa siku ya kumvisha pete usisuse.

kwetu tunamtambua AK kama mchumba halali wa twinushka wangu.......
 
Back
Top Bottom