Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
hahahahaha...hahahahaha mpwa hapo umeua kabisa
Bado sijafa hommie! Ngoja nikawahi Valuu nitetee uhai wangu! Mpwa kanitwanga dongo kali sana! Pole sana Pearl Mpenzi. Hope kesho utakuja hapa kutuambia umepona. Naenda kupiga rozari mafungu ya utukufu kwa ajili yako!