sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 8,678
- 9,374
Poa poaUliyemtaja simfahamu.
Poa poaUliyemtaja simfahamu.
Poa poaUliyemtaja simfahamu.
Namba ya simu tena halafu kwa wewe ambaye ni Tishio kwenye hoja zako za Siasa za Mlengo wa kule... Duu ngoja watu wajilipue ila sijui...
Mimi nisingekuja hata ungekuwa serious, kwa style yako ya .... makonda oyeee
Wanawake wa JF siku usipomfikisha tu kileleni asubuh anareport MMU mapemaaaa.
Lakini hatajwi mhusika inakuwa ni jiwe gizani.Kwel mkuu. Wana uhuni wao kwa namna flan, kila zito ndan ya nyumba au kitandan linarepotiwa humu.
Lakini hatajwi mhusika inakuwa ni jiwe gizani.
makonda anakufaaBasi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
Hivi ww arif hujistukiag kiweka iyo sign..acha undezi bhana
Unachangia mada kwa mbwembwe zote kama sio ww vile huku karoho kanauma .Mkuu hata wasipotaja jina. What if ukiwa mhusiku uko JF na unaliona bandiko.
Sasa mbona umefunga PM? Hizo namba tunakupatiaje? Au tuziandike hapa alafu ukiibiwa mume uanze kulalamika?
Hivi Nyarandu ameshamuandikia barua Spika kweli???
Wanawake wa JF siku usipomfikisha tu kileleni asubuh anareport MMU mapemaaaa.