Jamani natafuta Mume

Basi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..

Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..

Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.

Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.

:D:D:D
:p
makonda anakufaa
 
BASHITE ANATAKA LAKINI MKUTANE KUSIKOJULIKANA.
ATAFANYA UKARABATI WA BARABARA YA KWENDA KWENU BURE KWA SIKU 60.HELA ZA WAUZA UNGA ZIPO.
 
Kwa ujasir ulionao ndg yng Cocochanel sikutegemea hata sku moja kuwa ungekuja kuyanyenyekea mapenzi,mm mwenyewe natafuta mwanamke kwaajili ya kuanzisha nae maisha mapya,lakn kujiamini kwako Coco' huwa kunanipa mashaka sana!
Pia,nafikiria kuwa huenda umekuja kwaajili ya kuwatafuta wa2 ambao hawa-support movement za jembe na nyundo.Kama kweli upo serious naomba usome uzi wangu unasomeka hivi "Natafuta mke mwema" na kama utaridhika na vgezo nilivyoviainisha basi njoo pm,ila nahtaji mwanamke ambaye ameshamaliza kusoma...,siyo baada ya mwezi mmoja ataka kwenda masomoni!
Karibu sana Coco' if your serious and commited enough
Thank you!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom