Jamani naombeni ushauri juu ya hili

Jamani naombeni ushauri juu ya hili

Aswel

Senior Member
Joined
May 1, 2012
Posts
114
Reaction score
35
Habari zenu wana Jf,
Kuna rafiki yangu anatarajia kufunga ndoa mwez wa nane mwishon, jana mchumba wake alienda kupima na ikaonekana ana ujauzito wa mwezi mmoja, sasa wanapata wakati mgumu kwa kuwa hadi mwezi wa nane mwishon ujauzito utakuwa na miez minne, kinachowasumbua kichwa, kama mimba itakuwa inaonekana je mchungaji hawezi kugoma kufungisha ndoa? Wao ni waumini wa lutheran, anaomba ushauri kwa mwenye uzoefu na suala hili.
Naomba kuwasilisha
 
Wakati wanakatiana mauno walitegemea nin kwani?
 
Wanabarik ndoa.....hawafung ndoa.
Mbona ndogo sana tu hiyo,tunashuhudia mimba yakuzaa kesho mtu anabarik ndoa kama kawa.
Fashion!
 
Hilo mbona siyo tatizo kabisa kijana!!! Ndoa nyingi zinazofungwa miaka ya sasa, ma-bibi harusi huwa tayari ni wajawazito!! Washona shela wanajua namna ya kuhandle hiyo sitution.
Waendelee tu na mipango ya harusi yao
 
Wafunge ndoa ya kiserikali, baadaye mwanamke akishajifungua wakabariki ndoa yao.
 
AS long as mimba ni yake tatizo liko wapi? kama hawakuona vibaya wao na wakafanya majamboz mpaka kikaeleweka sasa tabu iko wapi na anachukua jumla.
 
Waende wakamwambie mchungaji kuwa Mungu kawabariki uzao kabla ya ndoa na hawezi kukataa kuwafungisha ndoa.
Siku hizi ndoa nyingi unakutana na tumbo likiwa limeshiba,sijui wanaume wanalazimishwa au nao mpaka waone shamba linatoa mazao ndio wanatangaza ndoa?
 
Daah jamaa nimemwambia mlicho nishauri anaonekana bado haelewi amesema atanipa jibu baadae nini ameamua kufanya, nitawaletea jibu lake.
 
amlaumu demu....wakati wote huo wanagegedana alikuwa hapati mimba kisa anajua anaolewa ndio anadaka mimba...b.itches!!!
 
jambo la muhimu hapo mdogo wangu amwache mwanamke ajifungue kwanza thn wafunge ndoa ukijaribu kufungisha ndoa na mwanamke ni mjamzito ina maana mwanaume anafunga ndoa na watu wawili kitu ambacho si sawa
 
Hizo hela za michango waweke akiba kwa ajili ya kumpelekea mtoto shule....ndoa haina maana tena hapo
 
Tatizo ndoa za siku hizi ni kama tunajidanganya nafsi zetu tu, ndoa zinafungwa kwa taratibu za kidini lakini wanaofunga ndoa mioyoni wapo tofauti. Hapo kuna tatizo gani kama mkristo wa kweli kuna kuogopa nini na hiyo imeshatokea kwamba wameshafanya uzinzi kabla ya ndoa na kinachotakiwa ni kukaa na mchungaji kuangalia taratibu zinasemaje kuhusu hilo kwani kutenda dhambi ni kosa lakini anaetubu husamehewa mbele za mungu
 
Kwa hiyo yy alijua demu tasa au?

ishu hapa ni kwamba mwanamke alitaka hiyo mimba....kama mwanamke hataki mimba ndugu yangu, utatwanga maji kwenye kinu. eleweni mwanaume kutaka kusex kavu doesnt mean anataka mtoto...it just means he trusts u enough na anataka utamu orijino.
 
jambo la muhimu hapo mdogo wangu amwache mwanamke ajifungue kwanza thn wafunge ndoa ukijaribu kufungisha ndoa na mwanamke ni mjamzito ina maana mwanaume anafunga ndoa na watu wawili kitu ambacho si sawa

Hawa ni wakristo hiyo ki2 Hamna na una ushahidi upi? Weka mstari wa kuwaongoza kwa imani yao.... I mean toa Neno kwenye Bible liwaongoze.. Upooo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom