Avaya
Member
- Apr 25, 2012
- 44
- 17
Mwambie rafiki yako asiogope wala asiwe na wasiwasi asilimia kubwa na wanaofunga ndoa wanakua wameshavunja amri ya sita(usizini) mimba ni matokeo ya walichokua wanakifanya cha msingi ni kumweleza mchungaji kabla ya mafundisho ya ndoa ili mrudi kundini kwa walutheran wataelewa na siku ya harusi mnafunga ndoa mkiwa mmsheshatubu dhambi ya usinzi ila asilimia kubwa ya wanaofunga ndoa dhambi ya uzinifu wanakua wameshaitenda