bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Habari wana jamvi?
Katika mahusiano kujuana vyema ni jambo la kawaida na raha sana, lakini je, unaweza mpenda mwenzi wako, kumzoea, kumjali n.k lakini ushindwe KUJAMBA MBELE YAKE?
watakaochukulia uzi wangu ni upuuzi sawa lakini binafsi hiko kitu siwezi kabisakabisa ila mwenzangu hajambo ananipaga vitu amaizing.
naomba mtazamo wako.
Katika mahusiano kujuana vyema ni jambo la kawaida na raha sana, lakini je, unaweza mpenda mwenzi wako, kumzoea, kumjali n.k lakini ushindwe KUJAMBA MBELE YAKE?
watakaochukulia uzi wangu ni upuuzi sawa lakini binafsi hiko kitu siwezi kabisakabisa ila mwenzangu hajambo ananipaga vitu amaizing.
naomba mtazamo wako.