Jamani naomba msaaa wa kuunganisha simu na computer

Jamani naomba msaaa wa kuunganisha simu na computer

khaleedi said

Member
Joined
Jul 17, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Jamani naomba msaada wa kuunga nisha computer yangu na simu aina ya nokia 6300, yaani niingize bando katika sim yangu alafu nitumie katika computer kwa ajili ya internate nitafanyaje jamani
 
kwa kuanzia lazima hiyo computer yako iwe na internate conectivity ili kuweza ku download drives. Kama ni laptop nenda nayo kwenye net cafe yoyote yenye wireless then unganisha simu yako kwa USB cable chochote itakachokuuliza wewe bonyeza ok itasearch na ku install drives.

Ukisha instal kwa Nokio ni Ovi Suite, uki connect tuu simu yako, ovi inafunguka unaconnect direct, iko faster na low rates!.
 
Jamani naomba msaada wa kuunga nisha computer yangu na simu aina ya nokia 6300, yaani niingize bando katika sim yangu alafu nitumie katika computer kwa ajili ya internate nitafanyaje jamani
kama computer yako ina Bluetooth then connect kwa Bluetooth....fungua Bluetooth za devices zako (simu na computer) then nenda kwenye Network in ur computer,create the connection btn them.....try this ukikwama uliza tu
 
kama computer yako ina Bluetooth then connect kwa Bluetooth....fungua Bluetooth za devices zako (simu na computer) then nenda kwenye Network in ur computer,create the connection btn them.....try this ukikwama uliza tu
Mkuu hiyo process Mpaka awe na Nokia Pc suite bila hivyo hapati hiyo net
 
Back
Top Bottom