Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Mh! Ngumu kumeza, nitarudi baadaye kidogo! ngoja nikafikiri kwanza.
 
Hakuna perfect Man kwenye ulimwengu huu,kama hiko kitu kinachokurudisha nyuma kinafaa kusuluhisha fanya ivyo,,usije ukaruka majivu ukakanyaga moto,,
 
Kwani mahari imeshaliwa? Irudisheni na riba kidogo cz biashara haikufanyika

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?

Unamchiti makusudi ili akupige chini...
 
jiandalie fumanizi muite na ndugu zake waje washuhudie
 
Ndoa sio lelemama kama umehisi mapema defects ,jienguwe mapema
 
Yatakayokutokea Mungu pekee ndo anajua.Fanya kugongwa na mtu mwingine umpendae.Ndo ujue what goes around comes around
 
Ulikuwa wapi hadi ukakubali akutolee mahari? Au ulikuwa unamtega?

Afadhali umuache kwenye uchumba, na mwambie kinagaubaga!
 
Kuwa muwazi zaidi tueleze kinabagaubaga nini kimekusibu mpaka unataka kuacha huyo jamaa.
 
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?

unakubali kuwa wewe ndio ulifanya kosa kwa kuto mchunguza vizuri....unakubali kuwa umebugi men!!!
 
:confused2:daaaa ni bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta..funguka hapo juu ya hiyo tofauti ..vinginevyo utapata mateso bila chuki maisha yako yote..!:confused2:
 
Wee Gilesi unataka mahari irudishwe kisa jamaa hajui kubusu au kuna kingine cha ziada ???
 
Tueleze sababu za kwa nini hakufai ili tuelewe kwani unaweza kukuta wewe ndio humfai!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?

tengua tu before hujajitia kitanzini ukikosa sababu waambie una mimba only that na hutaki mpa mzigo ambao c wake, japo uonyeshe concern kwamba bahati mbaya acjali atapata asiyemcheat
 
Back
Top Bottom