lemone grass
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 289
- 336
Teenage love affair.. Sijui lakini! Hapa wewe ndio muamuzi wa mwisho, kusuka ama kunyoa, kulia lia kwake hiyo ni defence mechanism tu, kama hujui kusoma hata picha huoni?
Braza jambo kama hilo mtu anaomba ushauriKama uliyo yaelezea hapa ni ukweli.... ebu naomba nisikushauri kwa lolote mkuu, kwasababu kupanga ni kuchagua na neno pekee ninalo weza nikalisema hapa ni..... mwanaume ni kiumbe kinacho zidi kutoweka kwa kasi ya ajabu hapa duniani.
Na ndo lengo hasa la huyu madame, na ameanza kufanikiwa bila shaka.Ila wanawake kwa ulaghai! Hapo mwana kashajihisi yeye ndio mkosaji![]()
Pole sana bossMkuu haya maneno naona kama yana ukweli Fulani japo kwangu mchungu
Inasikitisha sana chief......Braza jambo kama hilo mtu anaomba ushauri
Msamaha sawa, ila je? Atakubali kuwa yule ni mpenzi wake?Hapana hataweza fanikiwa Ila akiniomba msamaha naweza msamehe
Clone au yenyewe?Mkuu utanipa bei gani ni Samsung S4
Sana mkuu walimu sio wa kuwaamini hata kidogoDunia inaenda kasi mno, zamani walimu wa kike walikuwa wanaheshimika sana kwa uvumilivu, uaminifu na kutokuwa na tamaa kwenye mapenzi...siku hizi walimu wa kike (sio wote) wamekuwa malaya namba moja
Hadi saa 10 nitakua nimekuandalia elfu 70...Yenyewe