Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,764
- 3,513
Nimekuwa na huyu binti kwenye mahusiano takribani miezi sita siku zote amejionyesha kwangu ni mtu makini anayeheshimu misingi ya dini yake.
Mwezi mmoja nyuma nilitembelea maeneo anayoishi huyu binti bila kumpa taarifa (yeye ni mwalimu hivyo anaishi nyumba za shuleni kwao) nilimkuta nje wapo na jamaa mmoja wanapiga story, nilivyofka kama alishtuka kidogo then akanikaribisha walipoketi kwa tabasamu huku akinitambulisha kwa jamaa kama kaka ake na amekuja kumtembelea,
Mimi nilitambulishwa kama rafk tu na alimwambia ni jirani yetu so sikuona tatzo coz ni kweli hata kwao sijulikani, baada ya story kidogo mm nikawaacha.
But last week niliibiwa simu pamoja na wallet yangu yenye vitambulisho so kutokana na kukosa vitambulisho zoezi la kurenew lilikuwa gumu kiasi ikabidi niazime simu yake kwa muda niendelee kutumia katika shughuli zangu.
Nilipowasha data mida ya usiku message za whatsapp ziliingia kwa wingi na baadh niliweza kuzisoma kupitia notification bar ndipo nikaona message ya mapenzi toka kwa yule jamaa aliyemtambulisha ni kaka ake na kuangalia chat zao zaidi nikajiridhisha ni wapenz wa muda mrefu kabla hata ya mimi.
Leo nimemtumia ujumbe nikamwambia "naona hukujiandaa au ulishindwa kujiandaa kabla ya kunipa simu" akashtuka akapiga nikamueleza hali ilivyo na niliyoyasoma kwenye chat zao.
Cha ajabu mwenzangu amepanick na ameanza kutuma txt kuwa mimi sina shukrani kwa msaada wake pia nilikuwa namtafutia sababu ya kumwacha.
Jamani wana Jf wenzangu naomba mnipe ushauri kama nimekosea maana sijafanya maamuzi yoyote zaidi ya kumwambia lakini tayari anaweweseka analia mara mm simu siitaki tena wakati mwanzoni alikuwa nimpe baada ya kurenew
Mwezi mmoja nyuma nilitembelea maeneo anayoishi huyu binti bila kumpa taarifa (yeye ni mwalimu hivyo anaishi nyumba za shuleni kwao) nilimkuta nje wapo na jamaa mmoja wanapiga story, nilivyofka kama alishtuka kidogo then akanikaribisha walipoketi kwa tabasamu huku akinitambulisha kwa jamaa kama kaka ake na amekuja kumtembelea,
Mimi nilitambulishwa kama rafk tu na alimwambia ni jirani yetu so sikuona tatzo coz ni kweli hata kwao sijulikani, baada ya story kidogo mm nikawaacha.
But last week niliibiwa simu pamoja na wallet yangu yenye vitambulisho so kutokana na kukosa vitambulisho zoezi la kurenew lilikuwa gumu kiasi ikabidi niazime simu yake kwa muda niendelee kutumia katika shughuli zangu.
Nilipowasha data mida ya usiku message za whatsapp ziliingia kwa wingi na baadh niliweza kuzisoma kupitia notification bar ndipo nikaona message ya mapenzi toka kwa yule jamaa aliyemtambulisha ni kaka ake na kuangalia chat zao zaidi nikajiridhisha ni wapenz wa muda mrefu kabla hata ya mimi.
Leo nimemtumia ujumbe nikamwambia "naona hukujiandaa au ulishindwa kujiandaa kabla ya kunipa simu" akashtuka akapiga nikamueleza hali ilivyo na niliyoyasoma kwenye chat zao.
Cha ajabu mwenzangu amepanick na ameanza kutuma txt kuwa mimi sina shukrani kwa msaada wake pia nilikuwa namtafutia sababu ya kumwacha.
Jamani wana Jf wenzangu naomba mnipe ushauri kama nimekosea maana sijafanya maamuzi yoyote zaidi ya kumwambia lakini tayari anaweweseka analia mara mm simu siitaki tena wakati mwanzoni alikuwa nimpe baada ya kurenew


