Mkada gani huo mkuu???Wanaume wengine hovyo kabsa kitu kidogo tuu unahitaji ushauli siku ukipata mkasa kama niliyopata mm si utajinyonga kabsaa jifunze kuwa mwanaume kamili





Nashukuru Mungu kuzaliwa Kanda ya ziwa !!mkuu kweli nimeliona hilo nimekuwa kama tawi tu la kujishikiza kwa muda jamaa ndio main chickInavyoonekana amedata kwa demu na asipojiangalia yeye ndo ataishia kuomba msamaha.
Unamkuta demu wako na njemba. Halafu unatambulishwa kuwa ni braza. Sijui rafiki au binamu. Palepale inabidi ujiongeze kwa sababu mara nyingi huyo ni mume mwenzio na anaweza kuwa ndo main bae we kumbe kitawi tu cha kujishikiza...Kama alivyotuasa Mkwere "akili za kuambiwa......"
InasikitishaKama uliyo yaelezea hapa ni ukweli.... ebu naomba nisikushauri kwa lolote mkuu, kwasababu kupanga ni kuchagua na neno pekee ninalo weza nikalisema hapa ni..... mwanaume ni kiumbe kinacho zidi kutoweka kwa kasi ya ajabu hapa duniani.
Nilikuwa simfuatilii kabisa na nilikuwa naishi poa tu tatzo ni message nilivyoziona nikashindwa kuwa kimyaMapenzi yanakanuni mbili tu na unatakiwa kushika moja kati ya hizo. 1) ukitaka kuishi kwafuraha usithubutu kumfuatikia mapenzi wako. Yuko na nani mwingine, anafanya nini kwa siri n.k. Mradi wewe unapata share yako, ridhika. 2) Fuatilia kila hatua ya mpenzi wako lakini kuwatayari kukosa furaha na amani.
Nashukuru mkuuKwa mambo hayo bado unataka ushaur kweli??
Nina waswas huenda una uwezo mdogo wa kutatua changamoto zako pasipo ushaur wa watu...
Ushaona kila kitu half unauliza ushauri?
In fact n bora kuvunja uchumba kulko kuja kuvunja ndoa baadae
We ulipata mkasa ganiWanaume wengine hovyo kabsa kitu kidogo tuu unahitaji ushauli siku ukipata mkasa kama niliyopata mm si utajinyonga kabsaa jifunze kuwa mwanaume kamili