Jamani nafuta mchumba...

Jamani nafuta mchumba...

Ilonga Msalabani

Senior Member
Joined
Nov 23, 2012
Posts
111
Reaction score
36
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu fani ya sociology miaka 2 iliyopita, jinsia ni mwanaume, sijabahatika kupata ajira bado. Nafafuta mwanamke atakaye kuwa mchumba na baadae mke mwenye vigezo vifuatavyo,

1. Awe na ajira au biashara (kipato kizuri)
2. Awe na kausafiri hata bajaji sio mbaya (ninasononeshwa sana na hali ya kuomba usafiri/lifti nikitoka harusini au bar kuangalia mpira nyakati za usiku.
3. Asiwe mwanachama wa CHADEMA asije andamana chumbani kwangu wana misimamo ya kimaandamano sana. Kwa mwanachama wa CCM its an added advantage.
4. Awe sio mjane.
5. Umri usizidi miaka 60.
6. Sifungamani na dini yeyote.
7. Usiwe mjamzito sina muda wa kulea mimba za watu.
8. Kitambi cha wastani ni staha kwenye penzi
9. Asiwe mweusi kama mkaa tusije zaa sokwe.
10. Awe mzigoo eeh mzigo. (asiwe kimbao mbao)


Tafadhali naomba mni PM haraka nikutumie picha pamoja na phyisical address. Nisaidieni kuondokana na msongo wa mawazo. Mimi ni kijana mtanashati sema nimekosa refferee mjini ili nipate ajira.
 
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu fani ya sociology miaka 2 iliyopita, jinsia ni mwanaume, sijabahatika kupata ajira bado. Nafafuta mwanamke atakaye kuwa mchumba na baadae mke mwenye vigezo vifuatavyo,

1. Awe na ajira au biashara (kipato kizuri)
2. Awe na kausafiri hata bajaji sio mbaya (ninasononeshwa sana na hali ya kuomba usafiri/lifti nikitoka harusini au bar kuangalia mpira nyakati za usiku.
3. Asiwe mwanachama wa CHADEMA asije andamana chumbani kwangu wana misimamo ya kimaandamano sana. Kwa mwanachama wa CCM its an added advantage.
4. Awe sio mjane.
5. Umri usizidi miaka 60.
6. Sifungamani na dini yeyote.
7. Usiwe mjamzito sina muda wa kulea mimba za watu.
8. Kitambi cha wastani ni staha kwenye penzi
9. Asiwe mweusi kama mkaa tusije zaa sokwe.
10. Awe mzigoo eeh mzigo. (asiwe kimbao mbao)


Tafadhali naomba mni PM haraka nikutumie picha pamoja na phyisical address. Nisaidieni kuondokana na msongo wa mawazo. Mimi ni kijana mtanashati sema nimekosa refferee mjini ili nipate ajira.

Haaaahaaaaa Huna kazi unataka mke akulee,
usafili huna Unataka wa mwanamke,
HUNA KAZI TAFUTA KAZI KWANZA! Unataka kulishwa tu kama MsukuLe!
 
Dunia inavituko kweli. Umesema huna kazi, sawa na hapo namba 7 unasema huna muda wakulea mimba za watu..
 
Hahahaha! Eti mwenye gari!! Ngoja wakuchangamkie!!!
 
mkuu ajira za uhamiaji zimetoka!

changamkia shavu hilo kwanza halafu ndo uje na salary slip hapa ndo utawapata wengi tu!

watakuja wachumba, tena wenye kila aina ya sifa...!

shangaa lakini mimi sina kazi sina pesa... lakini.. qudadeki!!
 
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu fani ya sociology miaka 2 iliyopita, jinsia ni mwanaume, sijabahatika kupata ajira bado. Nafafuta mwanamke atakaye kuwa mchumba na baadae mke mwenye vigezo vifuatavyo,

1. Awe na ajira au biashara (kipato kizuri)
2. Awe na kausafiri hata bajaji sio mbaya (ninasononeshwa sana na hali ya kuomba usafiri/lifti nikitoka harusini au bar kuangalia mpira nyakati za usiku.
3. Asiwe mwanachama wa CHADEMA asije andamana chumbani kwangu wana misimamo ya kimaandamano sana. Kwa mwanachama wa CCM its an added advantage.
4. Awe sio mjane.
5. Umri usizidi miaka 60.
6. Sifungamani na dini yeyote.
7. Usiwe mjamzito sina muda wa kulea mimba za watu.
8. Kitambi cha wastani ni staha kwenye penzi
9. Asiwe mweusi kama mkaa tusije zaa sokwe.
10. Awe mzigoo eeh mzigo. (asiwe kimbao mbao)


Tafadhali naomba mni PM haraka nikutumie picha pamoja na phyisical address. Nisaidieni kuondokana na msongo wa mawazo. Mimi ni kijana mtanashati sema nimekosa refferee mjini ili nipate ajira.

weja pucha yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom