Ilonga Msalabani
Senior Member
- Nov 23, 2012
- 111
- 36
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu fani ya sociology miaka 2 iliyopita, jinsia ni mwanaume, sijabahatika kupata ajira bado. Nafafuta mwanamke atakaye kuwa mchumba na baadae mke mwenye vigezo vifuatavyo,
1. Awe na ajira au biashara (kipato kizuri)
2. Awe na kausafiri hata bajaji sio mbaya (ninasononeshwa sana na hali ya kuomba usafiri/lifti nikitoka harusini au bar kuangalia mpira nyakati za usiku.
3. Asiwe mwanachama wa CHADEMA asije andamana chumbani kwangu wana misimamo ya kimaandamano sana. Kwa mwanachama wa CCM its an added advantage.
4. Awe sio mjane.
5. Umri usizidi miaka 60.
6. Sifungamani na dini yeyote.
7. Usiwe mjamzito sina muda wa kulea mimba za watu.
8. Kitambi cha wastani ni staha kwenye penzi
9. Asiwe mweusi kama mkaa tusije zaa sokwe.
10. Awe mzigoo eeh mzigo. (asiwe kimbao mbao)
Tafadhali naomba mni PM haraka nikutumie picha pamoja na phyisical address. Nisaidieni kuondokana na msongo wa mawazo. Mimi ni kijana mtanashati sema nimekosa refferee mjini ili nipate ajira.
1. Awe na ajira au biashara (kipato kizuri)
2. Awe na kausafiri hata bajaji sio mbaya (ninasononeshwa sana na hali ya kuomba usafiri/lifti nikitoka harusini au bar kuangalia mpira nyakati za usiku.
3. Asiwe mwanachama wa CHADEMA asije andamana chumbani kwangu wana misimamo ya kimaandamano sana. Kwa mwanachama wa CCM its an added advantage.
4. Awe sio mjane.
5. Umri usizidi miaka 60.
6. Sifungamani na dini yeyote.
7. Usiwe mjamzito sina muda wa kulea mimba za watu.
8. Kitambi cha wastani ni staha kwenye penzi
9. Asiwe mweusi kama mkaa tusije zaa sokwe.
10. Awe mzigoo eeh mzigo. (asiwe kimbao mbao)
Tafadhali naomba mni PM haraka nikutumie picha pamoja na phyisical address. Nisaidieni kuondokana na msongo wa mawazo. Mimi ni kijana mtanashati sema nimekosa refferee mjini ili nipate ajira.