excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Unaogopa kumwaga mchele kwenye kuku wengi??? Ngoja nikuje huko gizani
wahi wahi mama!! unajua humu MMU, watu hawanipendi kama nini!
teh..!
Unaogopa kumwaga mchele kwenye kuku wengi??? Ngoja nikuje huko gizani
Siyo kweli. Kijijini sio kwa wasiosoma mjomba. Wewe na elimu yako mpaka sasa hivi huna mbele wala nyuma unatafuta kulelewa tena na mwanamke! Kijijini kuna watu wanakupiga bao ile mbaya hicho kielimu chako cha mdebwedo sociology. Halafu mwanaume utasomaje sociology bhana? Hiyo ni course ya mademu tena waliofeli form 6.Nikirudi kijijini then, what? Does it help? kijijini ni kwa wasiosoma...acha mambo yako...
saasa unataka mchumbaa au kufanya kinyume kua kweli?weka wazi fursa zipo mkuu we tania tu.
Yani unatia kichefu chefu. Mwanaume utasomaje course za mademu kama Sociology bhana? Halafu unadharau watu wa kijijini?
Yani unatia kichefu chefu. Mwanaume utasomaje course za mademu kama Sociology bhana? Halafu unadharau watu wa kijijini?
wahi wahi mama!! unajua humu MMU, watu hawanipendi kama nini!
teh..!
mkuu una id ya ajabu kweli!
unmentionable!
sio wewe mkuu! kuna huyo nani sijui @hyppo nini sijui!
Mkuu, unataja kawaida tu(usiwe na haraka kulitamka)..hippocrates..socrates'!
ibadili bana!
hivi kweli ulishawahi kuta kwenye notification uko mentioned?
Haha..Not everyday, but mentioned enough, mkuu!
Hahahhaha!!!
Huelewi nini hapo mkuu??
Avatar yako imenifurahisa sana