Jamani mwenzenu Napendwa, ila

mtoa hoja sijaelewa substance over form , yani VITZ ndo imefanya usahau ukicheche wake angalia labda ndo anataka alegalise ukicheche afu anakupoza kwa VITZ mwee
 
aaaa don't worry nimekuandalia mabaunsa kama hamsini hivi wanakulinda popote utakapokuwa mmoja wapo ni Yesu😛ray2:😛ray2:😛ray2:

Hhaha alafu huyu si ndo alitoa maoni kwa moderators kwamba kuwe na jukwaa la wanawake?Duhh tungeingia kingi, heri hata haikuruhusiwa kwani lingegeuka jukwaa la kusutana na kuongea habari za kuibiana mabwana
 
Hhaha alafu huyu si ndo alitoa maoni kwa moderators kwamba kuwe na jukwaa la wanawake?Duhh tungeingia kingi, heri hata haikuruhusiwa kwani lingegeuka jukwaa la kusutana na kuongea habari za kuibiana mabwana

wangesutana waliokulia uswahilini sisi wa kule VING'AWE tusingefua dafu.
 
Mmmm!! Hii thread mbona kama "kuandika script" za movie!! Kama vile chit chat tuu!! Anyway, vyovyote vile haisumbui, inaburudisha tu, a story about "two plus" iwe ya kweli au uongo. Kama hadithi za shigongo au chai chungu, hatujuagi uhalisia wake twa-enjoy kusoma tu.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Ha ha ha, I shud serial kill in the name of self defence? Jamani nahurumia mileage kwenda sana.

 
Mie nipo mpendwa, nilikuwa pembeni naangalia tu hili muvi....hahaha!!
Yaani hata sielewi nani steringi na nani jambazi kuu...
Ila nawe stukaaa best yangu lol utatolewa ngeu

Mimi sisemi AMINA hahahaha watu8 upo best
 
Last edited by a moderator:
Mie nipo mpendwa, nilikuwa pembeni naangalia tu hili muvi....hahaha!!
Yaani hata sielewi nani steringi na nani jambazi kuu...
Ila nawe stukaaa best yangu lol utatolewa ngeu

Mie mtoto wa watu ustering niutoe wapi, Niliambiwa nijishushe ili Mungu anikweze kwa wakati wake......TAYARI IGNORED. Hivi na wewe hujapata mke hapa JF bado?muwe mnasema tusijetolewa ngeu kwa kuwasalimia bila kujua kumbe wake zenu hawataki mtajwe.
 
Hehehe eti mke!!...kwangu what happens in JF stays in JF.
Hapa ni kama jumba la BBA, tunapata marafiki and we treat em as real friends.
Mwendhio hapa nina mke na watoto ila ni wastaarabu sio watoa ngeu...

Mie mtoto wa watu ustering niutoe wapi, Niliambiwa nijishushe ili Mungu anikweze kwa wakati wake......TAYARI IGNORED. Hivi na wewe hujapata mke hapa JF bado?muwe mnasema tusijetolewa ngeu kwa kuwasalimia bila kujua kumbe wake zenu hawataki mtajwe.
 
Hehehe eti mke!!...kwangu what happens in JF stays in JF.
Hapa ni kama jumba la BBA, tunapata marafiki and we treat em as real friends.
Mwendhio hapa nina mke na watoto ila ni wastaarabu sio watoa ngeu...

Hahahaha haya bana,untambulishe wifi yangu na wanangu wa jf niwajue bathi
 
Hahah...hiyo maneno ndani ya parandesi imenifanya nicheke tu.
Usijali mpendwa najua utafurahi kukutana nao karibu sana nawe nyumbani kwetu(kwenye server za JF)...

Nimefurahi kuwatambua watoto wako na Mama yao, wasalimie popote walipo.....uwalete kwangu basi wapafahamu (hapa kwa desktop yangu)
 
c.c Zahra White
 
Last edited by a moderator:
katika mapenzi kuna milima na mabonde..hongera kwa kua mvumilivu. Mentor na ww utulie
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…