Jamani,eti nzi wa kijani(yule wa chooni) ni mwanachama wa chama kimoja fulani cha siasa maarufu hapa nchini?
nafaham ila sisemi
Wote wana CDM
Kiuhalisia inzi hawezi kuwa mwanachama wa chama cha siasa ila kutokana na rangi yake ya kijani huwa wanaitwa ccm ...!mwenye tindikali yake aje namsubiriJamani,eti nzi wa kijani(yule wa chooni) ni mwanachama wa chama kimoja fulani cha siasa maarufu hapa nchini?
nafaham ila sisemi
Kiuhalisia inzi hawezi kuwa mwanachama wa chama cha siasa ila kutokana na rangi yake ya kijani huwa wanaitwa ccm ...!mwenye tindikali yake aje namsubiri
hapana,si mwanachama wa chama fulan bali ni shabik wa timu fulan hivi hapa nchiniJamani,eti nzi wa kijani(yule wa chooni) ni mwanachama wa chama kimoja fulani cha siasa maarufu hapa nchini?
si wale wanaobutua butua?kiongoz wenu ana kadi yao nambari 1!timu gani we naye?
Mm yangu macho 2.hamjui kilaki2 kwenye mtandao kinapitiwa na wakubwa na kufanyiwa kazi?