Jamani Mume wangu Ananiogopa...

awp

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
1,711
599
Habari wana jf,
Jamani mwenzenu nimepata mtu mzima mwenzangu wa kuliwazana cha jabu huyu kaka tunapokuwa tuko faragha namuona hajiamini hata kidogo, licha ya kumwachia mwili wangu wote lakini, bado ananiogopa. Najitahidi kumapa malavidavi yote bado hajiamini,
pili tatizo nililomgundua uwezo wa kuplay game for 20minutes hawezi, yaani nikibadilisha mkao tuu kosa inadidi uibust, je wapenzi ni tatizo gani? maumbile au kwa vile ananiogopa? ushauri wenu tafadhali
 
Angekuwa anakuogopa basi hata mtu mzima asingekuwa anasimama wakati wa chakula cha usiku,inawezekana kuna tatizo kati yenu na kila mwenzako akilifikiria basi hupoteza hamu ya tendo,kaeni mzungumze kwa kina kuhusu suala hilo na toa kabisa dhana ya kwamba yeye anakuogopa na hapo mtaweza kumaliza tatizo.
 
Punguza ku-dominate/ control game, je mmepima ukimwi? yawezekana akiona apple yako anakumbuka machungu ya yule aliyekuwa naye mwanzo - talk to him!

sio Nime - Tumepima kabla hatuaanza kula namshukuru Mungu tupo fit
 
he!na wanaume nao huwa wanaona aibu ! Mtambuzi kuja kipande hii utufanyie utafiti kisha utuletee maelezo kamili tena ako na mashiko ya kitakwimu kabisa!
BACK TO THE TOPIC
bidada inaelekea uko uso wa mbuzi yani full kukausha eneo la facial ekspreshen hebu lainika kidogo ujue wanaume hawapendi vyama vya upinzani kunako eneo la tukio!ukiwa submissive like vile ye ndo kinara na maujanja unamapa nafasi ayaoneshe inakuwa poa!
kwa aina ya hii mwanamume we anatakiwa kuwa mpole ile full kula kucha na nini kandanda likikolea unapiga tick tack!
 
Last edited by a moderator:
Angekuwa anakuogopa basi hata mtu mzima asingekuwa anasimama wakati wa chakula cha usiku,inawezekana kuna tatizo kati yenu na kila mwenzako akilifikiria basi hupoteza hamu ya tendo,kaeni mzungumze kwa kina kuhusu suala hilo na toa kabisa dhana ya kwamba yeye anakuogopa na hapo mtaweza kumaliza tatizo.

Asante kwa ushauri, nimejaribu na ninaendelea kumchimba anatoa sababu nusunusu. Labda kwa vile anakaa kwangu
 
Aisee!
Ndoa zina majaribu!

Labda mtoto wa kike unakuwa mkavu, mimacho kodo!
Jirekebishe.
PakaJimmy, kwakweli ninatabia ya kumkazia mme macho, huwa narembua kunako sita kwa sita tuu.
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh_mwanaume anaogopa..?.....hebu muulize anaogopa nini?...ila hii ni mpya.
 
ddk 20 mbona nyingi sana?
unataka kumuua mwenzio?
Mmmm Smile dakika 20 sio nyingi, ukianzia na romance then umalize huwa natoka bila mara nyingi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom