Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,090
Asante kwa ushauri, nimejaribu na ninaendelea kumchimba anatoa sababu nusunusu. Labda kwa vile anakaa kwangu
Ha ha ha ha kosa la kwanza ambalo hata Mungu kakataza,"mwanaume atawaacha wazazi wake na ataambatana na mkewe"
Haikusemwa "mwanamke atawaacha wazazi wake na ataambatana na mumewe"
Hapo kuna tatizo kubwa sana na msipoliweka sawa hapo hakuna mahusiano yaliyo bora,pia inawezekana hata katika maamuzi ya familia unayafanya wewe kwa kuwa upo kwako,angalia maongezi yako ukiwa na marafiki,ndugu unampa nafasi gani?Hapo watakiwa kutafuta suluhisho la jumla na si la wakati wa chakula cha usiku pekee.