Jamani Mtaani Ni Kugumu, omba yasikukute!

Jamani Mtaani Ni Kugumu, omba yasikukute!

Issue ni mtazamo tu.

Ukizani kuambiwa kujiajiri unaonewa endelea kuishi ivyo unavyoishi.


Najua changamoto mnayokumbana nayo inayotokana na false believe na high expectations tunapokuwa tunaishi maisha ya vyuo kwa hisani ya HESLB.

Utakuta unajisahau kabisa kumbe wewe mtoto wa mkulima wa korosho Lindi.

Jambo litakalowasaidi ni kujitambua.

Lazima mfahamu tunaishi dunia ya ushindani.

Idadi ya wahtimu ni kubwa kuliko idadi ya ajira zinazotokewa.

Mbadala hapo ni kuja na wazo la kutumia ulichonacho kujiendeleza ikiwemo kijiajiri.


Lazima kujua pia mwanzo haba ndo huzaa kikubwa mnachokitamani.

Jitihada na mtazamo sahii ndo mtaji namba moja.


Lazima upate wazo unaloweza lifanyia kazi kutokana na elimu na vipaji vyako .

Kaa chini tengeneza wazo. Shirikisha ndg zako na jamaa zako wa karibu kwani hao ndo wanaoweza kukuamini.


Tatizo mlilonalo vijana wetu tukiwapeleka shule mnapandisha mabega hamtaki hata kusalimu bdg zenu ambao nyie huzani mnawazidi kila kitu. Hivyo hamjengi social capital.

Marafiki ulio nao ni ku chat jf; fcb whtsapp na kumbe wote nyie ni tegemezi na akili mgando kwani mnafanana.

Punguzeni muda wa kujadili demu fulani ana kiuno kizuri; hips za ukweli; miguu ya bia and all blabla....

Tumia mida hiyo kuwekeza ku win trust za kusaidika na kujijenga kisaikolojia na kiuzoefu.

Jitolee
Shirikiaa na mzee au mama, kaka au binamu kubuni na kuendeleza bihashara ya genge lililopo nyumbani au kitu chochote cha kiuchumi kinachofanywa na jamaa zako.

Jishushe ; kubali kuonekana mnyonge kumbe wewe una mipango mikubwa badae.


Dunia imebadirika; nyakati zimechange hivyo ni mhimu kubadirika pia.
 
vijana wa siku hizi hawajielewi hata kidogo, watasota mtaani mpaka watie akili. Niliwahi kumpa kazi binti mmoja katika moja ya biashara zangu, alifika form IV failure lakini kwa biashara niliyonayo niliona ataweza japo kutunza vitabu. Hakumaliza hata mwezi sababu ya nyodo zisizo na maana na kutokujitambua. Alikua anakaa kwangu, chakula bure malazi bure, umeme na maji halipi. akaanza kupanga chakula anachotaka kula... stupid binti yule, sitaki hata kumkumbuka. alikotoka ni maskini wa kutupwa, kupata mlo mmoja tu ni majaliwa, nguo za mwilini ilikua majanga matupu, lakini majibu aliyokua ananipa sitakaa nimsahau.
Kijana wa siku hizi akifika form IV anajiona kasoma sana, tena form IV failure, anachagua kazi kupita kiasi. anashindwa kujua kua sasa hivi hata wafanyakazi wa ndani tunaweka form IV, wanaojielewa wanakubali bila shida na mnaishi vizuri.
hao wanajiona wamesoma sana kwa kufeli form IV wataishia kulalamika sana huku mtandaoni kua kazi hakuna sababu ya kuchagua kazi. ukimuambia kazi hata ya kuuza duka anasahau kua kafeli form IV na anstahili kufanya kinachokuja mbele yake, yuko busy kutaka kazi za ofisini. Tulio maofisini hatujui kesho itaishaje, itakua wewe wa mtaani? acha waisome namba mpaka wawe na akili. Darasani ni kucheza tu hakuna kusoma, unafeli halafu unataka uwe Manager kisa umefika form IV. Na wa For, VI na chuo wafanyeje?
Kama huna mtaji wa biashara, ukipata hata kazi ya ulinzi fanya upate pesa ya sabuni, acha kuchagua kazi wakati ulicheza shule wakati wenzio wanasoma. hakuna shortcut kwenye maisha.
Nasubiri matusi lakini huu ndio ukweli.
 
me nashangaa juz juz kwenye runinga namuona mweshmiwa flani wa kinondoni ety anawasihi vijana wajiajiri
yeye kapata hyo nafasi kwa kupewa anaanza kejeri

kwanini yeye ambaye ameshapata mtaji asiende kujiajiri hiyo nafasi akaachia wengine ambao hawajapata mitaji ili wajiajiri..?
Kama application unaandika kama ulivyo andika hapa, ukija kwangu siwezi kukupa kazi, zaidi ya kutupa barua yako. Huu ubishoo wa kubadili lugha utawa cost sana
ety badala ya eti
Kejeri badala ya kejeli
Runinga badala ya Luninga
ndio wale wale x badala ya s
Hebu jifunzeni kwanza kuandika. Mtalalamika sana kwa hizi mbwembwe zenu za majitaka
 
Mkuu unapokea mshahara mwisho wa mwezi au umejiajiri?
Issue ni mtazamo tu.

Ukizani kuambiwa kujiajiri unaonewa endelea kuishi ivyo unavyoishi.


Najua changamoto mnayokumbana nayo inayotokana na false believe na high expectations tunapokuwa tunaishi maisha ya vyuo kwa hisani ya HESLB.

Utakuta unajisahau kabisa kumbe wewe mtoto wa mkulima wa korosho Lindi.

Jambo litakalowasaidi ni kujitambua.

Lazima mfahamu tunaishi dunia ya ushindani.

Idadi ya wahtimu ni kubwa kuliko idadi ya ajira zinazotokewa.

Mbadala hapo ni kuja na wazo la kutumia ulichonacho kujiendeleza ikiwemo kijiajiri.


Lazima kujua pia mwanzo haba ndo huzaa kikubwa mnachokitamani.

Jitihada na mtazamo sahii ndo mtaji namba moja.


Lazima upate wazo unaloweza lifanyia kazi kutokana na elimu na vipaji vyako .

Kaa chini tengeneza wazo. Shirikisha ndg zako na jamaa zako wa karibu kwani hao ndo wanaoweza kukuamini.


Tatizo mlilonalo vijana wetu tukiwapeleka shule mnapandisha mabega hamtaki hata kusalimu bdg zenu ambao nyie huzani mnawazidi kila kitu. Hivyo hamjengi social capital.

Marafiki ulio nao ni ku chat jf; fcb whtsapp na kumbe wote nyie ni tegemezi na akili mgando kwani mnafanana.

Punguzeni muda wa kujadili demu fulani ana kiuno kizuri; hips za ukweli; miguu ya bia and all blabla....

Tumia mida hiyo kuwekeza ku win trust za kusaidika na kujijenga kisaikolojia na kiuzoefu.

Jitolee
Shirikiaa na mzee au mama, kaka au binamu kubuni na kuendeleza bihashara ya genge lililopo nyumbani au kitu chochote cha kiuchumi kinachofanywa na jamaa zako.

Jishushe ; kubali kuonekana mnyonge kumbe wewe una mipango mikubwa badae.


Dunia imebadirika; nyakati zimechange hivyo ni mhimu kubadirika pia.
 
Mkuu.... Pole...wanaokuambia ujiajiri wanania nzuri na wewe...binafsi nipo kwenye mchakato niachane na hizi ajira kwa sabab anachokulipa muajiri ni cha kukutosha kula na kufanya machache huku ukitimiza malengo yake. Nikijifananisha na ambao wamejiajiri naona kuna tofauti kubwa sana. Ila zingatia..ukiamua kujiajiri amua kuwa bize...
 
vijana wa siku hizi hawajielewi hata kidogo, watasota mtaani mpaka watie akili. Niliwahi kumpa kazi binti mmoja katika moja ya biashara zangu, alifika form IV failure lakini kwa biashara niliyonayo niliona ataweza japo kutunza vitabu. Hakumaliza hata mwezi sababu ya nyodo zisizo na maana na kutokujitambua. Alikua anakaa kwangu, chakula bure malazi bure, umeme na maji halipi. akaanza kupanga chakula anachotaka kula... stupid binti yule, sitaki hata kumkumbuka. alikotoka ni maskini wa kutupwa, kupata mlo mmoja tu ni majaliwa, nguo za mwilini ilikua majanga matupu, lakini majibu aliyokua ananipa sitakaa nimsahau.
Kijana wa siku hizi akifika form IV anajiona kasoma sana, tena form IV failure, anachagua kazi kupita kiasi. anashindwa kujua kua sasa hivi hata wafanyakazi wa ndani tunaweka form IV, wanaojielewa wanakubali bila shida na mnaishi vizuri.
hao wanajiona wamesoma sana kwa kufeli form IV wataishia kulalamika sana huku mtandaoni kua kazi hakuna sababu ya kuchagua kazi. ukimuambia kazi hata ya kuuza duka anasahau kua kafeli form IV na anstahili kufanya kinachokuja mbele yake, yuko busy kutaka kazi za ofisini. Tulio maofisini hatujui kesho itaishaje, itakua wewe wa mtaani? acha waisome namba mpaka wawe na akili. Darasani ni kucheza tu hakuna kusoma, unafeli halafu unataka uwe Manager kisa umefika form IV. Na wa For, VI na chuo wafanyeje?
Kama huna mtaji wa biashara, ukipata hata kazi ya ulinzi fanya upate pesa ya sabuni, acha kuchagua kazi wakati ulicheza shule wakati wenzio wanasoma. hakuna shortcut kwenye maisha.
Nasubiri matusi lakini huu ndio ukweli.
Unaandika huu utumbo sababu una sehemu uliyoajiriwa.

Mkishashiba huwa hamjui kuwa kuna watu wana njaa.

Sio kila mtu asiye na kazi ana tabia hizo ulizosema.
 
Ntaisoma namba kumnyima kura za kutisha Lowassa..angesambaratisha kabisa huo mfumo uliopo..Ndo maana Trump kakomaa kuuzika mfumo kibwanyenye watu wachache na familia,marafiki , washirika,wajukuu mpaka vining'ina vyao kujimilikisha keki yaTaifa...kweli nchi hujengwa na wenye moyo ila inaliwa na wenye meno..
Huyo Lowasa mbona amejitajirisha peke yake alipokuwa kiongozi wa serikali?
 
Sasa mimi niwaambie ukweli mtu unamaliza chuo huna hata pa kuanzia hata hela hakuna mtaani ndio kabisa tunafanya shughuli sawa na STD VII, sometime ukizubaa huyo huyo STD VII ndo anakupa kibarua.
Mbona kama na wewe unadharau hao std 7?!
 
vijana wa siku hizi hawajielewi hata kidogo, watasota mtaani mpaka watie akili. Niliwahi kumpa kazi binti mmoja katika moja ya biashara zangu, alifika form IV failure lakini kwa biashara niliyonayo niliona ataweza japo kutunza vitabu. Hakumaliza hata mwezi sababu ya nyodo zisizo na maana na kutokujitambua. Alikua anakaa kwangu, chakula bure malazi bure, umeme na maji halipi. akaanza kupanga chakula anachotaka kula... stupid binti yule, sitaki hata kumkumbuka. alikotoka ni maskini wa kutupwa, kupata mlo mmoja tu ni majaliwa, nguo za mwilini ilikua majanga matupu, lakini majibu aliyokua ananipa sitakaa nimsahau.
Kijana wa siku hizi akifika form IV anajiona kasoma sana, tena form IV failure, anachagua kazi kupita kiasi. anashindwa kujua kua sasa hivi hata wafanyakazi wa ndani tunaweka form IV, wanaojielewa wanakubali bila shida na mnaishi vizuri.
hao wanajiona wamesoma sana kwa kufeli form IV wataishia kulalamika sana huku mtandaoni kua kazi hakuna sababu ya kuchagua kazi. ukimuambia kazi hata ya kuuza duka anasahau kua kafeli form IV na anstahili kufanya kinachokuja mbele yake, yuko busy kutaka kazi za ofisini. Tulio maofisini hatujui kesho itaishaje, itakua wewe wa mtaani? acha waisome namba mpaka wawe na akili. Darasani ni kucheza tu hakuna kusoma, unafeli halafu unataka uwe Manager kisa umefika form IV. Na wa For, VI na chuo wafanyeje?
Kama huna mtaji wa biashara, ukipata hata kazi ya ulinzi fanya upate pesa ya sabuni, acha kuchagua kazi wakati ulicheza shule wakati wenzio wanasoma. hakuna shortcut kwenye maisha.
Nasubiri matusi lakini huu ndio ukweli.
alikuzidi uzuri huyo binti ndio maana ulimchukia
 
Kwakwel nimekaa kimya muda mrefu ila uvumilivu umenishinda!
Kuna watu wao walishapata Mungu kawajaria lkn wanadharau sana hususani kwa vjana wanaosubiri ajira!

Kuna watu hawana hata aya wao wameajiriwa lakini wanawakejeri wenzao eti wakajiajiri waache utumwa wa kutegemea ajira!

Sasa mimi niwaambie ukweli mtu unamaliza chuo huna hata pa kuanzia hata hela hakuna mtaani ndio kabisa tunafanya shughuli sawa na STD VII, sometime ukizubaa huyo huyo STD VII ndo anakupa kibarua.

Sasa najiuliza hao wanaosema tukajiajiri kwanini wasitupe mitaji walau tuwe wajasiliamari?

Acheni unafiki MUNGU YUPO MJUE
ni kweli hali ni mbaya na elimu tunayopewa haituandai ku cope na hali halisi. politics zipungue tupeane madili ya kutoana kulalamika hakutusogezi mbele
 
Kama kujiajiri inalipa, wangeanza wao.
Jibu zuri sana kwa wale wanaokuja conspiracy theories za vijana wajiajiri wakati hakuna njia zozote (practically) za kuwawezesha. Asilimia kubwa ya vijana hutoka familia zenye kipato duni au cha kati.
 
Hakuna kitu kinanikera katika uandishi kama mtu kukosea matumizi ya "l" na "r". Halafu mbaya zaidi unakuta ni msomi.
 
Back
Top Bottom